Mama Tunu Pinda azindua Taasisi ya Manjano Foundation
Mgeni Rasmi kwenye halfa ua Uzinduzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Pamoja na Vipodozi Pendwa Vijulikanavyo kama Luv Touch Manjano Mke wa Waziri Mkuu Mh Tunu Pinda akitoa Hotuba yake katika Uzinduzi huo .
Katika Hotuba yake Mh Mama Pinda Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuanzisha Bidhaa amabyo imeweza kushindana na Bidhaa kama hizo kutoka mataifa Mengine.Halfa hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifunguliwa na mke wa Waziri...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Taasisi ya Manjano Foundation wazindua mafunzo ya wajasiriamali
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekha Nasser akitoa mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
9 years ago
Michuzi12 Oct
TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWANUFAISHA WANAWAKE
![](https://mmi111.whatsapp.net/d/uT3ZLf1yuF7Z0CbS62U2Z1YX8mM/AqPJxU2e7NR9qq4BW6b20jBsg3Jr_Y0NXnGA2xODkSfs.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mama wa Mama Tunu Pinda azikwa Dar
Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Bilal akimfariji mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wakati alipokwenda Tabata magengeni jijini Dar es salaam, nyumbani kwa marehemu, Hajjat Pili Mlolwa Rehani ambaye ni mama wa Mama Tunu, aliyefariki Septemba 17, 2015. Kulia ni Mama Hasina Kawawa,watatu kulia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na wanne kulia ni Naibu Waziri wake Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akimfariji mke wa Waziri...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qoykAe5SFBE/UxwpDIZNtWI/AAAAAAAFSVo/N34Vjq9bliE/s72-c/unnamed+(4).jpg)
MAMA TUNU PINDA AMEZINDUA MFUKO WA ELIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-qoykAe5SFBE/UxwpDIZNtWI/AAAAAAAFSVo/N34Vjq9bliE/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo18 May
HITIMA YA BABA MZAZI WA MAMA TUNU PINDA YAFANYIKA
![TU1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/TU1.jpg)
![TU2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/TU2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KmD8TB6GbM8/U-s8OYitM4I/AAAAAAAF_Kg/RcMoGZmiqwk/s72-c/unnamed%2B(95).jpg)
Mama Tunu Pinda atunukiwa Cheti cha Ubalozi wa Amani Duniani
![](http://3.bp.blogspot.com/-KmD8TB6GbM8/U-s8OYitM4I/AAAAAAAF_Kg/RcMoGZmiqwk/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IcYpBkKs4Co/U-s8OoOCqII/AAAAAAAF_Kk/zURekWHBJmQ/s1600/unnamed%2B(96).jpg)
9 years ago
GPLMAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10