Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangasisi wasusia fidia kiduchu

WAKAZI wa Mwambani, Kata ya Tangasisi, wilayani Tanga wameelezea kutoridhishwa na fidia waliyolipwa ili kupisha ujenzi wa reli kwenye Bandari mpya ya Mwambani. Wakazi hao zaidi ya 200 wanaoishi kandokando...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki kiduchu Zanzibar

Waandaaji wa michuano Kombe la Mapinduzi wamelalamikia kitendo cha mashabiki kuingia ‘kiduchu’ uwanjani huku wakionekana wakiishobokea zaidi timu ya Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

CAF: Azam yashinda kiduchu

>Azam imeanza vema mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CHAN) baada ya kuichapa Ferroviario kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, amesema asilimia 10 ya madini yaliyopo nchini ndiyo yaliyochimbwa tangu shughuli za uchimbaji zianze.

 

11 years ago

Mwananchi

Walalamikia posho kiduchu kucheza halaiki Zanzibar

Wanafunzi 200 wa shule za msingi Zanzibar walioshiriki kucheza halaiki ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wamelalamika kulipwa viwango vidogo vya posho kulinganishwa na wenzao kutoka Tanzania Bara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yaongoza kwa bajeti kiduchu ya elimu

IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi inayotenga bajeti ndogo katika sekta ya elimu barani Afrika ukilinganisha na nchi nyingine na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini. Hayo yamebainishwa jana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wahoji wizara kupewa fedha kiduchu

>Mjadala wa Kikao cha 12 cha Bunge la Bajeti jana ulitawaliwa na vilio vya kamati za Bunge na wabunge kuhoji sababu za Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto kupewa fedha kidogo ya maendeleo, huku Wizara ya Kazi na Ajira ikikosa kabisa fungu kutoka Hazina.

 

10 years ago

Mwananchi

Ruzuku ‘kiduchu’ zinaua elimu vyuo vya umma

>Taasisi mojawapo ya elimu nchini, ilipotaka kufanya ujenzi wa majengo kwa ajili ya maendeleo ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na serikali, ilituma mapendekezo na maombi ya ruzuku kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao kimsingi kilikubaliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wasusia Bunge

HALI ya hewa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba ilichafuka baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao kwa madai ya kuchoshwa kusikiliza matusi, ubaguzi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani