UKAWA wasusia Bunge
HALI ya hewa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba ilichafuka baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao kwa madai ya kuchoshwa kusikiliza matusi, ubaguzi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzihati ya Makubaliano ya Muungano ilivyowasilishwa Bungeni Mjini Dodoma, "UKAWA" wasusia kikao
![](https://4.bp.blogspot.com/-tVWAT2FJFNQ/U06oeDuiUiI/AAAAAAACu6Q/mSWxD_9V92k/s1600/EDWI6545.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Mar
Ukawa yapata Ukawa-nje ya Bunge
BAADA ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani ,vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge hilo (UKAWA- nje) na kupanga kuwashawishi wananchi nchi nzima kudai Katiba yenye kujali maslahi yao.
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UKAWA kuvunja Bunge
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetishia kuvunja Bunge Maalumu la Katiba iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kutumia rasimu yake badala ya kutumia rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Ukawa wavuruga Bunge Dodoma
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba
KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...
11 years ago
Habarileo04 Aug
Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
11 years ago
Habarileo11 May
Ukawa marufuku Bunge la Bajeti
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Kikwete amelijenga Bunge, Ukawa wasimsusie
BUNGE la 10 la Tanzania linatarajiwa kuvunjwa rasmi wiki hii na Rais Jakaya Kikwete katika tukio
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Ukawa ‘unavyolipeleka puta’ Bunge la Katiba