Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUisLXsN1rOI0cxiJY*7yOIrYHuHo0q5eVlExboer-gZ8kgwoAe08WiA6s-op9*M-Mgf9WVNK0d89BunBFmm7cI/mshikamanowavyama.jpg?width=650)
NI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?
Kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikiendelea tena mjini Dodoma wiki hii bila ya kuwepo kwa kikundi kinachojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema amekuwa akisisitiza kuwa bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika. Sitta alisema rasimu hiyo ina mambo mengi mazuri lakini pia...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
Zikiwa zimebaki wiki mbili kuanza vikao vyake, baadhi ya wanasheria wamehoji uhalali wa Bunge hilo kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba bila ya kuwapo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
10 years ago
Mwananchi21 Aug
CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]
Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Bila Ukawa hakuna Katiba’
Wakati kukiwa na juhudi za watendaji wa Bunge maalumu la Katiba kuwashawishi viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani wawaruhusu wabunge wao kurejea bungeni wakati vikao vya Bunge hilo vitakavyoanza Agosti 5 mwaka huu, bado utata umegubika kuhusu uwezekano wa kupatikana katiba hiyo kwa wakati
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya
>Wakati umesalia mwezi mmoja na siku 10 kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza tena vikao vyake mjini Dodoma kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya itakayowaongoza Watanzania kwa zaidi ya miaka 50 ijayo, Mtendaji Mkuu wa Bunge hilo amesema kuwa bila kundi la Ukawa kurejea na kushiriki hatua zote haitawezekana kupata Katiba Mpya.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa
Siku chache baada ya wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuondoka bungeni, wajumbe waliobakia wameambiwa wasijidanganye kuwa wanaweza kutengeneza Katiba bila kuhusisha pande zote.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Katibu: Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba
>Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahya Khamis Hamad amefafanua kauli yake aliyoitoa wiki iliyopita alipozungumza na Mwananchi akisema: “Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba.â€
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
Mwandishi Eric Shigongo WIKI ijayo siku kama ya leo Jumanne, Bunge Maalum la Katiba linatarajiwa kuketi mjini Dodoma kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba kukiwa na wasiwasi kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawataingia kikaoni. Ninachosema ni kwamba Ukawa kukataa kurejea katika vikao vya Bunge hilo kwa kushikilia msimamo wa kutaka ijadiliwe Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania