Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa
Siku chache baada ya wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuondoka bungeni, wajumbe waliobakia wameambiwa wasijidanganye kuwa wanaweza kutengeneza Katiba bila kuhusisha pande zote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Aug
Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Bila Ukawa hakuna Katiba’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUisLXsN1rOI0cxiJY*7yOIrYHuHo0q5eVlExboer-gZ8kgwoAe08WiA6s-op9*M-Mgf9WVNK0d89BunBFmm7cI/mshikamanowavyama.jpg?width=650)
NI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Katibu: Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Hatuwezi kuadabisha viongozi bila kubadili chama!
NAJUA kwa wengi ni vigumu kukubali hili. Lakini ukweli mtupu ni kwamba kama tunataka mabadiliko ya kweli tunahitaji kubadili mfumo mzima wa uongozi wa nchi yetu kupitia sanduku la kura. ...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Hatuwezi kubadili mfumo bila kubadili watawala
NINA heshima kubwa sana kwa mwandishi nguli wa makala, Paschally Mayega, maarufu zaidi kama Mwalimu Mkuu wa Watu. Ni mwandishi asiyeogopa kuandika kile kilichojificha katika uvungu wa mtima wake. Lakini...