Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa

Zikiwa zimebaki wiki mbili kuanza vikao vyake, baadhi ya wanasheria wamehoji uhalali wa Bunge hilo kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba bila ya kuwapo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kanuni zaibua tena mdahalo Bunge la #Katiba, Ukawa wahoji kwa nini zibadilishwe [VIDEO]

Wana-UKAWA hao wamesisitiza kamwe hawatakubali mabadiliko yoyote ya kanuni, isipokuwa yale tu ya vipengele vya 37 and 38 vinavyoelekeza namna ya kupiga kura.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba bila Ukawa

BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).

 

11 years ago

GPL

NI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?

Kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikiendelea tena mjini Dodoma wiki hii bila ya kuwepo kwa kikundi kinachojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema amekuwa akisisitiza kuwa bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika. Sitta alisema rasimu hiyo ina mambo mengi mazuri lakini pia...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]

Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA CHAIOMBA MAHAKAMA KUU KUWARUHUSU KUFUNGUA MAOMBI YENYE MWELEKEO WA KUPINGA BUNGE LA KATIBA

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimeiomba Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuwaruhusu kufungua maombi yenye mwelekeo wa kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba unavyoendelea mjini Dodoma.
Wakili wa TLS Mpale Mpoki alilieleza jopo la majaji watatu linalioongozwa na Mwenyekiti Jaji Augustine Mwarija akisaidiana na Aloysius Mujulizi na Fauz Twaib kuwa kuna mambo kadhaa yanayobishaniwa ambayo yanahitaji Mahakama hiyo kuingilia na kutolea...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bila Ukawa hakuna Katiba’

Wakati kukiwa na juhudi za watendaji wa Bunge maalumu la Katiba kuwashawishi viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani wawaruhusu wabunge wao kurejea bungeni wakati vikao vya Bunge hilo vitakavyoanza Agosti 5 mwaka huu, bado utata umegubika kuhusu uwezekano wa kupatikana katiba hiyo kwa wakati

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa

Siku chache baada ya wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuondoka bungeni, wajumbe waliobakia wameambiwa wasijidanganye kuwa wanaweza kutengeneza Katiba bila kuhusisha pande zote.

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu: Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba

>Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahya Khamis Hamad amefafanua kauli yake aliyoitoa wiki iliyopita alipozungumza na Mwananchi akisema: “Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani