KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVt*M3ju9C8eazW9mZW3xvaZFcv1K7*BDoZufGsAvqEpnA1BeFyYpBotfYV8TPm4u8boVJfXQ*HyfIMMks9EL96/B11.jpg?width=650)
Mwandishi Eric Shigongo WIKI ijayo siku kama ya leo Jumanne, Bunge Maalum la Katiba linatarajiwa kuketi mjini Dodoma kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba kukiwa na wasiwasi kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawataingia kikaoni. Ninachosema ni kwamba Ukawa kukataa kurejea katika vikao vya Bunge hilo kwa kushikilia msimamo wa kutaka ijadiliwe Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Matokeo rasmi ya kura za kupitisha rasimu ya Katiba Bunge Maalum mjini Dodoma
Idadi ya Wabunge ni 219
Waliopiga kura154
Wasiopiga Kura 65
Akidi inayotakiwa kura 146
Kura za NDIYO 147
Kura za HAPANA 7
TANGANYIKA
Idadi ya Wabunge 411
Waliopiga kura 335
Wasiopiga Kura 76
Akidi inayotakiwa kura 274
Kura za NDIYO 331
Kura za HAPANA 1 hadi 4
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Bila Ukawa hakuna Katiba’
11 years ago
Habarileo04 Aug
Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Mjumbe: Hatuwezi kutunga Katiba bila Ukawa
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Katibu: Sijasema bila Ukawa hakuna Katiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUisLXsN1rOI0cxiJY*7yOIrYHuHo0q5eVlExboer-gZ8kgwoAe08WiA6s-op9*M-Mgf9WVNK0d89BunBFmm7cI/mshikamanowavyama.jpg?width=650)
NI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa