Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba

KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba bila Ukawa

BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa ‘unavyolipeleka puta’ Bunge la Katiba

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni moja ya vikundi vilivyoanzishwa na Wajumbe wa Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma kutetea hoja zake kwenye mijadala ya bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaovuruga Bunge la Katiba wapo nje ya UKAWA

INGAWA hatutaki kukubali hadharani, lakini kila mmoja anakiri moyoni mwake kwa siri kuwa mchakato wa kuandika katiba mpya umevurugika na karibu utasambaratika kabisa. Ndoto ya Watanzania kuipata katiba mpya katika...

 

11 years ago

KwanzaJamii

BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI

Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) akiwahutubia wananchi waliojitokeza kukiunga mkono chama hicho katika viwanja vya Welfare (Orofea) mkoani Iringa. Na Mathias Canal, Kwanza Jamii-Iringa. Ukawa waendelea na msimamo wa kutorejea kwenye  bunge la katiba kutokana na katiba hiyo kutokidhi matakwa ya watanzania walioshiriki kutoa maoni yao ambayo kwa sasa yamebadilishwa na kuwa mawazo ya wachache. Hayo yamebainishwa na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alipozungumza na Kwanza...

 

11 years ago

GPL

NI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?

Kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikiendelea tena mjini Dodoma wiki hii bila ya kuwepo kwa kikundi kinachojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema amekuwa akisisitiza kuwa bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika. Sitta alisema rasimu hiyo ina mambo mengi mazuri lakini pia...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Chonde Ukawa rudini Bunge la Katiba

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewasihi viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyotarajiwa kuendelea tena kuanzia Agosti 5 mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa yameguka Handeni, 115 wahamia CCM

Wanachama 115 wa Chadema na CUF wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, wamejiunga na CCM kwa madai kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindwa kuelewana hadi kipindi cha Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa

Zikiwa zimebaki wiki mbili kuanza vikao vyake, baadhi ya wanasheria wamehoji uhalali wa Bunge hilo kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba bila ya kuwapo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Dewji Blog

AUDIO: “Haturudi kwenye Bunge Maalum la Katiba” — UKAWA

ukawa1

Viongozi wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakishikana mikono mara baada ya kuongea na waandishi wa habari kutoa tamko la UKAWA kuhusu wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni. Kutoka kulia ni Profesa Safari Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi Mosena Nyambabe, Mwenyekiti wan CHADEMA Freeman Mbow, Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Wilbrod Slaa, Mbunge Sakaya na Julius Mtatiro wakiwa nje ya Makao Makuu ya CUF

Ripoti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani