UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba
KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Aug
Bunge la Katiba bila Ukawa
BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Ukawa ‘unavyolipeleka puta’ Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wanaovuruga Bunge la Katiba wapo nje ya UKAWA
INGAWA hatutaki kukubali hadharani, lakini kila mmoja anakiri moyoni mwake kwa siri kuwa mchakato wa kuandika katiba mpya umevurugika na karibu utasambaratika kabisa. Ndoto ya Watanzania kuipata katiba mpya katika...
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI
11 years ago
GPLNI KWELI BILA UKAWA BUNGE LA KATIBA HALITAATHIRIKA?
11 years ago
Mwananchi10 May
Pinda: Chonde Ukawa rudini Bunge la Katiba
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Ukawa yameguka Handeni, 115 wahamia CCM
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
AUDIO: “Haturudi kwenye Bunge Maalum la Katiba” — UKAWA
Viongozi wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakishikana mikono mara baada ya kuongea na waandishi wa habari kutoa tamko la UKAWA kuhusu wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni. Kutoka kulia ni Profesa Safari Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi Mosena Nyambabe, Mwenyekiti wan CHADEMA Freeman Mbow, Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Wilbrod Slaa, Mbunge Sakaya na Julius Mtatiro wakiwa nje ya Makao Makuu ya CUF
Ripoti...