BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI
Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) akiwahutubia wananchi waliojitokeza kukiunga mkono chama hicho katika viwanja vya Welfare (Orofea) mkoani Iringa. Na Mathias Canal, Kwanza Jamii-Iringa. Ukawa waendelea na msimamo wa kutorejea kwenye bunge la katiba kutokana na katiba hiyo kutokidhi matakwa ya watanzania walioshiriki kutoa maoni yao ambayo kwa sasa yamebadilishwa na kuwa mawazo ya wachache. Hayo yamebainishwa na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alipozungumza na Kwanza...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jul
SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Ukawa waombwa kurudi Bungeni
Balozi wa amani Tanzania, Risasi Mwaulanga kiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari maelezo leo jijijni Dar es Salaam.
Na Rose Masaka-MAELEZO
UKAWA waombwa kukubali maoni ya watanzania walio wengi ya kuheshimu pesa za walipa kodi kwa kurudi bungeni na kupingana kwa hoja kwani hoja zao zikiwa za huakika hazitapingwa bali kanuni na taratibu zinazoendesha bunge zitafuatwa badala ya kuendelea kulalamika katika majukwaa ya kisiasa.
Kauli hiyo imetolewa na balozi wa amani Tanzania...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Maridhiano ni Ukawa kurudi bungeni-Mziray
BARAZA la Vyama vya Siasa, limeshangazwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kudai maridhiano wakati bado wanaendelea na mapambano kwa kukataa kurejea katika Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Mwigulu ‘awabembeleza’ Ukawa kurudi bungeni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sehoxXN0Xrg/U_DMdycnCCI/AAAAAAAGAS0/TabylNjI1wM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Wazee wa Dar es salaam wawataka UKAWA kurudi Bungeni. Na
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Katiba mkwamo; Ukawa wasisitiza hawatarudi bungeni
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UKAWA warudi bungeni, mchakato wa katiba uendelee - Mdau Magesa
![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s1600/unnamed+(6).jpg)
Nchi yetu ina bahati kupata viongozi wasikuvu na wenye nia njema na Taifa letu na ndio maana Mhe. Rais Kikwete alikubali hoja ya kuandika upya katiba licha ya kwamba haikuwa kwenye ilani wala vipaumbele vya Chama Cha Mapinduzi.
Na CCM kwa kuwa nia yake ni njema kwa Watanzania na ndio maana ikaridhia na mchakato ukaanza kwa utaratibu uliokubalika...
10 years ago
MichuziWajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...