KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWajumbe wa Bunge la Katiba waaswa kurejea Bungeni
Kauli hiyo imetolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Jaji Werema amesema kuwa wajumbe walio nje ya Bunge Maalum hawana budi kurejea bungeni na kuacha kumshinikiza Rais kulivunja bunge hilo kwani hana mamlaka ya kulivunja kulingana na sheria...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s72-c/1.jpg)
KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-razM8J3yrdM/U9JNS20peuI/AAAAAAAF6NI/KKIkxuOgpJ4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4X0mft_J_ag/U9JNYj0qzhI/AAAAAAAF6NQ/LMsNuLoUXtg/s1600/2.jpg)
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Katiba mkwamo; Ukawa wasisitiza hawatarudi bungeni
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UKAWA warudi bungeni, mchakato wa katiba uendelee - Mdau Magesa
![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s1600/unnamed+(6).jpg)
Nchi yetu ina bahati kupata viongozi wasikuvu na wenye nia njema na Taifa letu na ndio maana Mhe. Rais Kikwete alikubali hoja ya kuandika upya katiba licha ya kwamba haikuwa kwenye ilani wala vipaumbele vya Chama Cha Mapinduzi.
Na CCM kwa kuwa nia yake ni njema kwa Watanzania na ndio maana ikaridhia na mchakato ukaanza kwa utaratibu uliokubalika...
11 years ago
Habarileo23 Jun
NRA, CCK kufanya ziara kuitetea Katiba mpya
CHAMA cha National Reconstruction Alliance (NRA) na Chama Cha Kijamii (CCK), vimepanga kuzunguka mikoani, kuelezea umma umuhimu wa kuhakikisha mchakato wa kutengeneza Katiba mpya haukwami.
11 years ago
Habarileo22 Apr
Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni
WANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Taasisi ya Kiislamu yawasihi Ukawa kurejea bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kurejea bungeni, kwani huko ndiko mahali sahihi pa kujenga hoja za kuboresha Katiba mpya, inayosubiriwa na Watanzania wote.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
IBADA MAALUM: Maaskofu wawataka Ukawa kurejea bungeni