NRA, CCK kufanya ziara kuitetea Katiba mpya
CHAMA cha National Reconstruction Alliance (NRA) na Chama Cha Kijamii (CCK), vimepanga kuzunguka mikoani, kuelezea umma umuhimu wa kuhakikisha mchakato wa kutengeneza Katiba mpya haukwami.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi03 May
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa
>Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingi. Usemi huo umejidhihirisha kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambao tayari umeonyesha kuligawa taifa katika makundi matatu; Serikali, taasisi za dini na vyama vya siasa.
10 years ago
Habarileo20 Aug
Kikwete kufanya ziara Morogoro
RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kufanya ziara ya siku saba mkoani Morogoro inayoanza leo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3utOxRsXGHI/XljZSiVGooI/AAAAAAAA98g/S0wRLhrl8SUCvsXphUN4uGqF4OyVoDGbACLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BUJIO%2BWA%2BMASENETA%2BKUTOKA%2BUFARANSA-2.jpg)
MASENETA WA UFARANSA KUFANYA ZIARA NCHINI
Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa unatarajiwa kufanya ziara nchini kuanzia tarehe 01 hadi 08 Machi, 2020.
Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 29 Februari, 2020 kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar utaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ufaransa inayoshughulikia masuala ya Maendeleo Endelevu na Naibu Rais wa Kikundi cha Kirafiki na nchi za Bahari ya Hindi Seneta Harve Maurey.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3utOxRsXGHI/XljZSiVGooI/AAAAAAAA98g/S0wRLhrl8SUCvsXphUN4uGqF4OyVoDGbACLcBGAsYHQ/s640/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BUJIO%2BWA%2BMASENETA%2BKUTOKA%2BUFARANSA-2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s72-c/unnamed.jpg)
Mashujaa bendi kufanya ziara mikoani
![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s1600/unnamed.jpg)
BENDI ya muziki wa dansi nchini Mashujaa, inatarajia kufanya ziara katika mikoa ya nchini nzima kwa ajili ya kutoa shukrani kwa mashabiki wao waliowapigia kura kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Awards.
Akizungumza Dar es Salaam...
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Papa kufanya ziara ya siku moja Bosnia
Kiongozi wa kanisa katoliki anafanya ziara ya siku moja nchini Bosnia ambapo anatarajiwa kutoa wito wa kuwepo amani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania