MASENETA WA UFARANSA KUFANYA ZIARA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3utOxRsXGHI/XljZSiVGooI/AAAAAAAA98g/S0wRLhrl8SUCvsXphUN4uGqF4OyVoDGbACLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BUJIO%2BWA%2BMASENETA%2BKUTOKA%2BUFARANSA-2.jpg)
Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa unatarajiwa kufanya ziara nchini kuanzia tarehe 01 hadi 08 Machi, 2020.
Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 29 Februari, 2020 kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar utaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ufaransa inayoshughulikia masuala ya Maendeleo Endelevu na Naibu Rais wa Kikundi cha Kirafiki na nchi za Bahari ya Hindi Seneta Harve Maurey.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...
5 years ago
MichuziDKT. NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MASENETA KUTOKA UFARANSA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lbvHldS1BNM/VPjBv9RqyyI/AAAAAAAHH9w/7D32J16jvYY/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MH. KAMANI AKAMILISHA ZIARA NCHINI UFARANSA KWA KUTEMBELEA BANDARI YA UVUVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lbvHldS1BNM/VPjBv9RqyyI/AAAAAAAHH9w/7D32J16jvYY/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N5m2UPjkTT4/VPjBvid1S9I/AAAAAAAHH90/0ys0yUz70dU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E9fxvNbb1DQ/VPjBvm3dbuI/AAAAAAAHH9s/XDpctXBbmeQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dOWWp8zuMl0/UwTrOh01cEI/AAAAAAAFOEg/Mrv_1Dzsack/s72-c/POSTER-FINAL.jpg)
Wasanii wa Filamu nchini kufanya ziara jijini Arusha
![](http://3.bp.blogspot.com/-dOWWp8zuMl0/UwTrOh01cEI/AAAAAAAFOEg/Mrv_1Dzsack/s1600/POSTER-FINAL.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s1600/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Roberto kufanya ziara ya kimuziki ya siku mbili nchini, kutumbuiza leo Escape One na kesho Dodoma
Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha msanii maarufu kutoka nchini Zambia, Roberto Amarula (wa tatu kushoto) anayetarajiwa kutumbuiza leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar kabla ya kuelekea Dodoma kwenye tamasha la Instagram Party kesho Jumamosi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba akizungumzia kuhusu ziara ya Roberto Amarula nchini.
Mwanamuziki na...