Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wa Filamu nchini kufanya ziara jijini Arusha

Tarehe 28 mwezi wa huu wa pili, supasta JB jacob Steven, Majuto, Irene Uwoya, Mboto, Beka na Irene Paul watakuwepo Arusha kutafuta wasanii chipukizi ambao wataigiza nao kwenye movie mpya...hii ni nafasi yako wewe kijana wa Arusha kuchukua fomu ya kujiunga, fomu zinapatikana Radio 5, Triple A na maduka ya Arusha Bongo shop yaliyopo stendi ndogo ya mabasi au piga namba 0784 959 509 na endelea kuangalia kipindi cha ulimwengu wa filamu kinachoruka kila jumamosi saa 4 asubuhi na marudio saa 5...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini

 Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Joyce Mwakisyala  (katikati )akipokea maoni ya  Utafiti  kuhusu Tasnia ya Filamu Tanzania kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa kwanza kulia, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo  Rais wa Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa pili kutoka kulia akionyesha maoni ya  Utafiti ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford ndani ya burundi : Aalikwa kufanya filamu na wasanii wa huko

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu nchini Shamsha Ford a.k.a mama Ney wa mitego ameendelea kuiwakilisha vyema tasnia ya filamu nchini baada ya kualikwa nchini Burundi na wasanii wakubwa wa filamu nchini humo kwa ajili ya kufanya filamu pamoja nao.

Shamsa amesema kuwa filamu hiyo itawahusisha wasanii tofauti kutoka Rwanda,Burundi,Uganda Tanzania, na amewaomba watanzania wamuombee heri ili afanye vizuri kwenye filamu hiyo.

Hapo jana mwanadada Shamsa alipata nafasi ya kuongea na...

 

9 years ago

Michuzi

DKT. AUGUSTINE MAHIGA KUFANYA ZIARA MKOANI ARUSHA

ZIARA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, KIKANDA NA KIMATAIFA, MHE. DKT. AUGUSTINE MAHIGA MKOANI ARUSHA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga atafanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuanzia kesho Jumamosi tarehe 19 Desemba 2015.Atakapokuwa mkoani Arusha, Balozi Mahiga atafanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dkt. Richard Sezibera. Mazungumzo yao...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA WASANII WA MBALIMBALI WA MUZIKI NA FILAMU YAFANYIKA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Kampuni ya Chief Promotion,Amoni Mkoga akizungumza wakati wa semina ya wasanii wa Muziki pamoja na wale wa Filamu iliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jijini Dar es Salaam 21 Februari-2014. lengo la semina hiyo ilikuwa ni kuzungumzia hakimili kwa wasanii pamoja na kujiunga na mifuko ya jamii ili kujiwekea akiba ya baadae (kushoto), Afisa Mwandamizi wa Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Msafiri Mbibo (watatu kulia), Kaimu Afisa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon...

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii wa Filamu Nchini watakiwa kutokuwa makontena ya biashara haramu

 Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi Joyce Fisoo akizungumza na wasanii wa bongo movie wanaotarajia kwenda nchini Uingereza kurekodi filamu na kampuni ya Didas Entertainment iliyopo nchini Uingereza. Kulia ni Mama wa Didas Bi. Nuru Idrisa    Kutoka kulia Msanii Yusuph Mllela, Afisa kutoka Bodi ya Filamu Bibi Beatrice Msumari, Msanii Esha Buhet na Msanii Husna Athumani wakimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu walipofika ofisini kwake kwa ajili ya kuwaaga wasanii hao...

 

5 years ago

Michuzi

MASENETA WA UFARANSA KUFANYA ZIARA NCHINI


Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa unatarajiwa kufanya ziara nchini kuanzia tarehe 01 hadi 08 Machi, 2020.  
Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 29 Februari, 2020 kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar utaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ufaransa inayoshughulikia masuala ya Maendeleo Endelevu na Naibu Rais wa Kikundi cha Kirafiki na nchi za Bahari ya Hindi Seneta Harve Maurey.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii

KS2

Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

KS3

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi  Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yapamba uzinduzi wa maonesho ya filamu AAFF jijini Arusha

2

Mkurugenzi wa Tigo wa Kanda ya Kaskazini David Charles akizungumza na wadau wa filamu (hawapo pichani) kuhusu umuhimu wa simulizi za Kiafrika kupitia filamu na mchango wake katika kukuza utamaduni wa Kitanzania hususan lugha ya Kiswahili kwa upande wa Tanzania na Afrika Mashariki.

3

Kikundi cha ngoma kinachoitwa ‘AfriCulture Group’ kikitoa burudani wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo ya wiki nzima jijini Arusha yaliyodhaminiwa na Tigo. 

5

Mkurugenzi wa Tigo wa Kanda ya Kaskazini David Charles...

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni (pichani), anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani