Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni (pichani), anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRais Yoweri Museveni Awasili Nchini kwa Ziara ya siku moja
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Rais Yoweri Museveni amepiga marufuku huduma za uchukuzi wa umma Uganda
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s72-c/Rais%2BNyusi.jpg)
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s640/Rais%2BNyusi.jpg)
11 years ago
MichuziMatukio mbalimbali ya ziara ya kikazi ya Mhe. Membe nchini Uturuki
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s72-c/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fi8Z9FVzdAo/Uwx_L14i6RI/AAAAAAAASeE/VH81sVTjW_c/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+8.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0p4YN8byAFs/UwyDKJYRUrI/AAAAAAAASeQ/QVsG0JmkBUA/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+6.jpeg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KsJHaUBht-o/UwcFVxY98LI/AAAAAAAFOkY/feUkW9pnWlk/s72-c/New+Picture+(1).png)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI WA ZANZIBAR MHE. ALI JUMA SHAMHUNA AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI OMAN
Ziara hii ilikuwa na madhumuni makuu ya kuimarisha uhusiano wa kindungu uliopo baina ya Oman na Tanzania kupitia sekta ya Elimu na kuimarisha uhusiano wa karibu na ushirikiano baina ya taasisi za elimu kati ya Tanzania na...