Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Rais Yoweri Museveni amepiga marufuku huduma za uchukuzi wa umma Uganda

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepiga marufuku uchukuzi wa umma nchini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni (pichani), anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri amtisha Rais Yoweri Museveni

>Waziri wa Serikali za Mitaa nchini Uganda, Alex Onzima ametishia kujiuzulu wadhifa wake iwapo Rais Yoweri Museveni hatakubali kutia saini muswada unaohusu wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Yoweri Museveni Awasili Nchini kwa Ziara ya siku moja

 Rais wa Uganda Yoweri Museveni akiteremka katika ndege iliyomleta leo jijini dar es Salaam kwa ajili ya  ziara yake ya siku moja nchini Tanzania . Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akikagua Gwaride la Maaskari pamoja na Mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni baada ya kuwasili  leo jijini  katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya ziara ya siku moja. Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete (Kulia) pamoja na mgeni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Yoweri Museveni afungua mkutano wa marais wastaafu katika hoteli ya Serena jijini Dar

????????????????????????????????????

Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi

Uganda imepiga marufuku kufanya mazoezi ya mwili ya umma kama njia ya ziada ya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona.

 

10 years ago

WDSU New Orleans

Yoweri Museveni Fast Facts


Yoweri Museveni Fast Facts
WDSU New Orleans
January 25, 1971 - Goes into exile in Tanzania when Obote is overthrown by Idi Amin. While in Tanzania, forms the Front for National Salvation (FRONASA) with the purpose of overthrowing Amin. April 1979 - FRONASA overthrows Amin and Museveni takes ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Raisi Kikwete akutana na Yoweri Museveni


NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mazungumzo ya faragha na mgeni wake, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Ikulu, Dar es salaam.
Rais Museveni ambaye alikuwa kwenye ziara ya siku moja ya kikazi katika Tanzania, aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 4:10 asubuhi na kupokelewa na Rais Kikwete.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, mazungumzo kati ya viongozi hao wawili, yalianza saa 5:30 asubuhi na kuchukua...

 

5 years ago

The Citizen Daily

When ‘Ugandan President Yoweri Museveni,’ ‘Bush’ were feared; only to be whispered

When ‘Ugandan President Yoweri Museveni,’ ‘Bush’ were feared; only to be whispered  The Citizen DailyHow Museveni became a disciple of IMF, World Bank  Daily MonitorView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani