Waziri amtisha Rais Yoweri Museveni
>Waziri wa Serikali za Mitaa nchini Uganda, Alex Onzima ametishia kujiuzulu wadhifa wake iwapo Rais Yoweri Museveni hatakubali kutia saini muswada unaohusu wapenzi wa jinsia moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s1600/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
10 years ago
MichuziRais Yoweri Museveni Awasili Nchini kwa Ziara ya siku moja
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Rais Yoweri Museveni amepiga marufuku huduma za uchukuzi wa umma Uganda
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Rais Yoweri Museveni afungua mkutano wa marais wastaafu katika hoteli ya Serena jijini Dar
Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi
10 years ago
WDSU New Orleans11 Aug
Yoweri Museveni Fast Facts
WDSU New Orleans
January 25, 1971 - Goes into exile in Tanzania when Obote is overthrown by Idi Amin. While in Tanzania, forms the Front for National Salvation (FRONASA) with the purpose of overthrowing Amin. April 1979 - FRONASA overthrows Amin and Museveni takes ...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Raisi Kikwete akutana na Yoweri Museveni
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mazungumzo ya faragha na mgeni wake, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Ikulu, Dar es salaam.
Rais Museveni ambaye alikuwa kwenye ziara ya siku moja ya kikazi katika Tanzania, aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 4:10 asubuhi na kupokelewa na Rais Kikwete.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, mazungumzo kati ya viongozi hao wawili, yalianza saa 5:30 asubuhi na kuchukua...
5 years ago
The Citizen Daily15 Mar
When ‘Ugandan President Yoweri Museveni,’ ‘Bush’ were feared; only to be whispered