Matukio mbalimbali ya ziara ya kikazi ya Mhe. Membe nchini Uturuki
Waziri Mkuu wa Uturuki, Mhe. Recep Tayyip Erdogan (kulia) akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). mazungumzo hayo yalifanyika katika Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Ankara, Uturuki tarehe 08 Mei, 2014.
Mazungumzo yanaendelea kati ya Waziri Mkuu wa Uturuki (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania. Mwingine katika picha ni Bibi Victoria Mwakasege, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s72-c/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fi8Z9FVzdAo/Uwx_L14i6RI/AAAAAAAASeE/VH81sVTjW_c/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+8.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0p4YN8byAFs/UwyDKJYRUrI/AAAAAAAASeQ/QVsG0JmkBUA/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+6.jpeg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
TASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UTURUKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILzCl1fsgiA/VJKHJGgZgkI/AAAAAAAG4DQ/yMVIen9SmN4/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUqOy4tySjg/VJKHJd6lifI/AAAAAAAG4DM/jdwEgGINH1Q/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WyKeEU9Uykg/VJKHKpNaqXI/AAAAAAAG4Dg/VC2EweCtDAQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s1600/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Matukio mbalimbali katika picha ziara ya Rais Kikwete nchini Uholanzi
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi waliojitokeza kumlaki wakati akiwasili jijini The Hague, Uholanzi, leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo na muhtasari wa ziara yake toka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uholani Mhe Wilson Masilingi baada ya kuwasili The Hague leo Jumatatu Juni 8, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell Bw. Ben van Beurden jijini the Hague,...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KsJHaUBht-o/UwcFVxY98LI/AAAAAAAFOkY/feUkW9pnWlk/s72-c/New+Picture+(1).png)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI WA ZANZIBAR MHE. ALI JUMA SHAMHUNA AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI OMAN
Ziara hii ilikuwa na madhumuni makuu ya kuimarisha uhusiano wa kindungu uliopo baina ya Oman na Tanzania kupitia sekta ya Elimu na kuimarisha uhusiano wa karibu na ushirikiano baina ya taasisi za elimu kati ya Tanzania na...
11 years ago
Michuzi21 Mar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s72-c/membe.jpg)
Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China
![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s1600/membe.jpg)