MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s72-c/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa China mara baada ya kuwasili kwenye Wizara ya Mambo ya Nje ya China.
Mhe. Membe na Mhe. Wang Yi katika picha ya pamoja.
Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Wang Yi mara baada ya kupokelewa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMatukio mbalimbali ya ziara ya kikazi ya Mhe. Membe nchini Uturuki
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s72-c/20150217_143347.jpg)
Mhe. Mohammed Aboud Awasili Dubai kwa ziara ya Kikazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s1600/20150217_143347.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud, amewasili Dubai kwa ziara ya kikazi.
Akiwa Dubai, Mhe. Aboud atafanya mazungumzo na Kamati ya Maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya Dunia 2020 (World Expo2020).
Aidha, atafanya mazungumzo na Nd. Islam Balhabou, Mfanyabiashara Mtanzania ambaye amejitolea kufungua afisi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
TASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s72-c/000.jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO) BW,RAYMOND BENJAMIN AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s1600/000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n9Or-5vivTU/U3Oc4hQIFFI/AAAAAAAFhus/O3NOMXlhzYI/s1600/03.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 May
Katibu Mkuu wa Shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO) Bw. Raymond Benjamin awasili nchini kwa ziara ya 5 kikazi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongozana na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kuwasilia katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,kwa ziara ya kikazi nchini kuanzia leo tarehe 14n hadi 18 Mei 2014. Tanzania ni moja ya nchi mbili ikiwemo Ethiopia atakazotembelea katika Kanda ya ICAO .
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s72-c/membe.jpg)
Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China
![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s1600/membe.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s1600/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
Lengo la ziara ya Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (Arabian Gulf) na bara la Afrika.
Vile vile Waziri Mkuu anatarajiwa kutangaza fursa za uwekezaji nchini Tanzania,...
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...