Tigo yapamba uzinduzi wa maonesho ya filamu AAFF jijini Arusha
Mkurugenzi wa Tigo wa Kanda ya Kaskazini David Charles akizungumza na wadau wa filamu (hawapo pichani) kuhusu umuhimu wa simulizi za Kiafrika kupitia filamu na mchango wake katika kukuza utamaduni wa Kitanzania hususan lugha ya Kiswahili kwa upande wa Tanzania na Afrika Mashariki.
Kikundi cha ngoma kinachoitwa ‘AfriCulture Group’ kikitoa burudani wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo ya wiki nzima jijini Arusha yaliyodhaminiwa na Tigo.
Mkurugenzi wa Tigo wa Kanda ya Kaskazini David Charles...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Maonesho ya filamu yaliyodhaminiwa na Tigo yamalizika kwa kishindo Jijini Arusha
Mtalaam wa Mawasiliano wa Tigo Amani Nkurlu (kulia) akikabidhi tuzo ya ‘Tigo Best Short Film’ kwa Mtayarishaji wa Filamu kutoka Kenya Mark Maina katika Maonesho ya Filamu ya Kiafrika Arusha (AAFF) aliyeshinda kupitia filamu yake mpya iitwayo “Consigned to Oblivion.” Maonesho hayo yaliyodhaminiwa na Tigo yalifikia tamati juzi.
Mratibu wa maonesho ya AAFF Nassir Mohamed akionyesha tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Muongozaji filamu kutoka Tanzania Amil Shivji aliyeshinda tuzo ya ‘Best Short...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Tigo yadhamini maonesho ya kuinua tasnia ya filamu
Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini wa Tigo, Bw. David Charles akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa maonesho ya filamu za Kiafrika Arusha (AAFF) yatakayofanyika Septemba 20 mpaka 27 jijini Arusha. Kushoto kwake Meneja wa maonesho ya AAFF, Bi. Mary Birdi.
Tigo Tanzania leo imetangaza udhamini wake kwa maonesho ya filamu barani Afrika yatakayofanyika mkoani Arusha kuanzia Jumamosi wiki hii. Maonesho hayo ya wiki moja yanayojulikana...
10 years ago
Michuzi25 Nov
UZINDUZI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA WAFANYIKA JIJINI DAR
![_N0A0439](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/N0A0439.jpg)
![_N0A0239](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/N0A0239.jpg)
![_N0A0270](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/N0A0270.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Tigo yafungua duka lililokarabatiwa Jijini Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akikata utepe kuzindua Tawi la Kampuni ya Tigo mjini Arusha,wanaoshuhudia kulia ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe na kushoto ni Mwangaza Matotola, Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akangalia bidhaa zilizomo ndani ya Duka la Tigo mara baada ya kuzindua duka hilo, kulia kwake anayetoa maelekezo ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Uzinduzi wa ‘Samsung Muvika 4G LTE’ wafana jijini Arusha
Nguli wa vifaa vya umeme Samsung imeendelea na juhudi za kuimarika katika nafasi ya kwanza kwa uzinduzi wa simu zake mpya na za kushangaza za 4G LTE zilizopewa jina la ‘Muvika’. Uzinduzi huu wa mara ya kwanza na wa aina yake nchini kwa upande wa simu za mkononi zenye teknolojia ya aina hii ulifanyika Hoteli ya Bay Leaf Arusha. Pamoja na utambulisho huo tukio lilikuwa kama jukwaa la usimamizi wa wazalishaji simu kukutana na wafanyabiashara wa hapa nyumbani, mawakala na wadau wengine...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s72-c/image.jpeg)
MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK YAPAMBA MOTO LUSAKA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s1600/image.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Simbachawene atembelea Banda la Tanzanite One katika maonesho ya nne ya kimataifa ya madini ya vito, jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Z6MKxxOv0g/VTiTup9EnsI/AAAAAAAHStc/YYKMvHPFstI/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dOWWp8zuMl0/UwTrOh01cEI/AAAAAAAFOEg/Mrv_1Dzsack/s72-c/POSTER-FINAL.jpg)
Wasanii wa Filamu nchini kufanya ziara jijini Arusha
![](http://3.bp.blogspot.com/-dOWWp8zuMl0/UwTrOh01cEI/AAAAAAAFOEg/Mrv_1Dzsack/s1600/POSTER-FINAL.jpg)
11 years ago
MichuziAZANIA BANK ILIVYOSHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE JIJINI ARUSHA