Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yafungua duka lililokarabatiwa Jijini Arusha

1

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akikata utepe kuzindua Tawi la Kampuni ya Tigo mjini Arusha,wanaoshuhudia kulia ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe na kushoto ni Mwangaza Matotola, Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo.

2

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akangalia bidhaa zilizomo ndani ya Duka la Tigo mara baada ya kuzindua duka hilo, kulia kwake anayetoa maelekezo ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Tigo yafungua duka jipya Songea

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imefungua duka jipya la huduma kwa wateja mjini Songea. Duka hilo litarahisisha upatikanaji wa huduma zake kwa wateja, ambao awali walikuwa hawana namna ya kupata huduma za moja kwa moja kutoka kwenye kampuni hiyo ya simu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo yafungua Duka jipya la kisasa Sumbawanga Mjini

sumbawanga1

Katibu tawala mkoa wa Rukwa,  ndugu Smythies Pangisa(kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya  uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Sumbawanga mjini, kushoto ni  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kusini Jackson Kiswaga na katikati ni meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana.

sumbawanga2

Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(katikati) akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi Katibu tawala mkoa wa Rukwa ndugu Smythies Pangisa jinsi watakavyo hudumia wateja,...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yazindua duka lake jijini Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyrembe Munasa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja la airtel jijini Arusha .Kushoto ni Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala.Hafla ya uzinduzi ilifanyika jana jijini Arusha. Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala (kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa wakati wa...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI

Meneja wa Vodacom wa kibiashara wilaya ya Kinondoni Edger Jonas akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa duka jipya la Vodacom maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kulia kwake ni Meneja wa Mauzo ya rejareja Elihuruma Ngowi, Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Msimamizi wa Maduka ya Vodacom Magret Lawrence. Uzinduzi wa duka hilo unaifanya Vodacom kufikisha jumla ya maduka 76 yaliyokwisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Star Media yafungua duka Samora

KATIKA kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kampuni ya Star Media inayosambaza ving’amuzi vya Star Times imezindua duka jipya Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza

 Mrakibu mwandamizi wa polisi  mkoa wa Mwanza SSP  Christopher Cyprian Fuime,  akikata utepe kuzindua duka la Airtel Mwanza mara baada ya matengenezo na kulifanya duka hilo kuwa la kisasa, pembeni yake ni Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba akiwa pamoja na wafanyakazi wa Airtel Mwanza. Uzinduzi huu umefanyika mwisho mwa wiki hii
 Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (kulia) akimwonyesha mgeni rasmi Mrakibu mwandamizi wa...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAFUNGUA DUKA JIPYA MJINI MOSHI

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Artel Bi. Adriana Lyamba akimuhudumia Bw. Ally Janja ambae ni Meneja wa Tawi la NBC Kilimanjaro na pia mmmoja kati ya wateja maalum wa Airtel wakiwa katika dula jipya la Airtel Moshi lenye kona maalum kwa wateja hao (Airtel Premium) mara baada ya duka hilo jipya na lakisasa kufunguliwa jana na Airtel mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Bi. Adriana Lyamba akijadiliana...

 

10 years ago

Habarileo

Voda yafungua duka jipya Quality Centre

KATIKA kuhakikisha wakazi wa Temeke na Ilala wanapata huduma kwa karibu, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imefungua duka jipya katika jengo la Quality Centre Uchumi.

 

10 years ago

GPL

SAMSUNG TANZANIA YAFUNGUA DUKA MBEYA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania  Hy zong Sun Seo, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani