Voda yafungua duka jipya Quality Centre
KATIKA kuhakikisha wakazi wa Temeke na Ilala wanapata huduma kwa karibu, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imefungua duka jipya katika jengo la Quality Centre Uchumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4_3r8CcoAnk/VEj8XK4_IsI/AAAAAAAGs78/kNTXax96OV4/s72-c/001.QUALITY%2BCENTRE%2BUCHUMI.jpg)
Vodacom yafungua duka jipya jengo la Quality Centre Uchumi
Duka hili jipya lenye mazingira rafiki kwa wateja litakuwa linatoa huduma mbalimbali kwa wateja wa Vodacom ikiwemo huduma kwa mawakala wa Mpesa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNUYBK4dTtujnzwbv5Emf0ntc9-F-2HJSEZ7QRP0k4oEAOfnLOqCv7pR3Wfktq4udWlpdRC0TM57maAf5shtfzJm/001.QUALITYCENTREUCHUMI.jpg?width=650)
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWgzibjT7TNaZoj6OoeHWFA3185bg6GyFcQsCcOZ*tTYbvzP9Buuc43s7F1-b-vPrynU2cE3JkYJxjYiBqtStWa/001.jpg?width=650)
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI
11 years ago
Habarileo04 Apr
Tigo yafungua duka jipya Songea
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imefungua duka jipya la huduma kwa wateja mjini Songea. Duka hilo litarahisisha upatikanaji wa huduma zake kwa wateja, ambao awali walikuwa hawana namna ya kupata huduma za moja kwa moja kutoka kwenye kampuni hiyo ya simu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/pic-3.jpg)
AIRTEL YAFUNGUA DUKA JIPYA MJINI MOSHI
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Kampuni ya Tigo yafungua Duka jipya la kisasa Sumbawanga Mjini
Katibu tawala mkoa wa Rukwa, ndugu Smythies Pangisa(kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Sumbawanga mjini, kushoto ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kusini Jackson Kiswaga na katikati ni meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana.
Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(katikati) akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi Katibu tawala mkoa wa Rukwa ndugu Smythies Pangisa jinsi watakavyo hudumia wateja,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--ESRqELs9QE/U4LsbmGO73I/AAAAAAAFlBg/Snerhsah3tI/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/--ESRqELs9QE/U4LsbmGO73I/AAAAAAAFlBg/Snerhsah3tI/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CQyXFc3uBiw/U4Lsb3LsfYI/AAAAAAAFlBk/Lp4YmDVCSBs/s1600/unnamed+(39).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Star Media yafungua duka Samora
KATIKA kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kampuni ya Star Media inayosambaza ving’amuzi vya Star Times imezindua duka jipya Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Tigo yafungua duka lililokarabatiwa Jijini Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akikata utepe kuzindua Tawi la Kampuni ya Tigo mjini Arusha,wanaoshuhudia kulia ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe na kushoto ni Mwangaza Matotola, Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akangalia bidhaa zilizomo ndani ya Duka la Tigo mara baada ya kuzindua duka hilo, kulia kwake anayetoa maelekezo ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya...