AIRTEL YAFUNGUA DUKA JIPYA MJINI MOSHI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/pic-3.jpg)
Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Artel Bi. Adriana Lyamba akimuhudumia Bw. Ally Janja ambae ni Meneja wa Tawi la NBC Kilimanjaro na pia mmmoja kati ya wateja maalum wa Airtel wakiwa katika dula jipya la Airtel Moshi lenye kona maalum kwa wateja hao (Airtel Premium) mara baada ya duka hilo jipya na lakisasa kufunguliwa jana na Airtel mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Bi. Adriana Lyamba akijadiliana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Kampuni ya Tigo yafungua Duka jipya la kisasa Sumbawanga Mjini
Katibu tawala mkoa wa Rukwa, ndugu Smythies Pangisa(kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Sumbawanga mjini, kushoto ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kusini Jackson Kiswaga na katikati ni meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana.
Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(katikati) akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi Katibu tawala mkoa wa Rukwa ndugu Smythies Pangisa jinsi watakavyo hudumia wateja,...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Tigo yafungua duka jipya Songea
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imefungua duka jipya la huduma kwa wateja mjini Songea. Duka hilo litarahisisha upatikanaji wa huduma zake kwa wateja, ambao awali walikuwa hawana namna ya kupata huduma za moja kwa moja kutoka kwenye kampuni hiyo ya simu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWgzibjT7TNaZoj6OoeHWFA3185bg6GyFcQsCcOZ*tTYbvzP9Buuc43s7F1-b-vPrynU2cE3JkYJxjYiBqtStWa/001.jpg?width=650)
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI
10 years ago
Habarileo23 Oct
Voda yafungua duka jipya Quality Centre
KATIKA kuhakikisha wakazi wa Temeke na Ilala wanapata huduma kwa karibu, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imefungua duka jipya katika jengo la Quality Centre Uchumi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4_3r8CcoAnk/VEj8XK4_IsI/AAAAAAAGs78/kNTXax96OV4/s72-c/001.QUALITY%2BCENTRE%2BUCHUMI.jpg)
Vodacom yafungua duka jipya jengo la Quality Centre Uchumi
Duka hili jipya lenye mazingira rafiki kwa wateja litakuwa linatoa huduma mbalimbali kwa wateja wa Vodacom ikiwemo huduma kwa mawakala wa Mpesa na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--ESRqELs9QE/U4LsbmGO73I/AAAAAAAFlBg/Snerhsah3tI/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/--ESRqELs9QE/U4LsbmGO73I/AAAAAAAFlBg/Snerhsah3tI/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CQyXFc3uBiw/U4Lsb3LsfYI/AAAAAAAFlBk/Lp4YmDVCSBs/s1600/unnamed+(39).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNUYBK4dTtujnzwbv5Emf0ntc9-F-2HJSEZ7QRP0k4oEAOfnLOqCv7pR3Wfktq4udWlpdRC0TM57maAf5shtfzJm/001.QUALITYCENTREUCHUMI.jpg?width=650)
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Tigo yazindua Duka jipya Moshi
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas T. Gama aikata utepe kuzindua rasmi Tawi la Tigo Moshi Mjini jana, wanaoshuhudia kulia ni Gwamaka Mwakilembe, Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini na kushoto ni Meneja wa ubora huduma kwa wateja Tigo, Mwangaza Matotola.
Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama juu ya bidhaa zilizopo ndani ya Duka la Tigo lililozinduliwa Moshi Mjini jana.
Kampuni ya simu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8AvAXfoQfIgtC*UGqe*u0p-p-tliRRxQB*2TL5Pl3RmiwupFPL5Ixsu0bWywNWVxAVsLUHtp19uAfP9Ukxpe1k/1.jpg?width=650)
TIGO YAFUNGUA TAWI JIPYA LINDI MJINI