Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAMSUNG TANZANIA YAFUNGUA DUKA MBEYA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania  Hy zong Sun Seo, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI‏

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa wa kwanza toka kulia pamoja na Meneja wa duka hilo Irene Njovu na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania Hassan Saleh wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka jipya na la kisasa la Vodacom Tanzania,lililopo Quality Centre katika   barabara ya Nyerere ambalo ni moja ya kituo kikubwa cha biashara jijini Dar es Salaam.… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Star Media yafungua duka Samora

KATIKA kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kampuni ya Star Media inayosambaza ving’amuzi vya Star Times imezindua duka jipya Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yafungua duka la kisasa Mwanza

 Mrakibu mwandamizi wa polisi  mkoa wa Mwanza SSP  Christopher Cyprian Fuime,  akikata utepe kuzindua duka la Airtel Mwanza mara baada ya matengenezo na kulifanya duka hilo kuwa la kisasa, pembeni yake ni Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba akiwa pamoja na wafanyakazi wa Airtel Mwanza. Uzinduzi huu umefanyika mwisho mwa wiki hii
 Mkuu wa kitengo cha huduma za wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (kulia) akimwonyesha mgeni rasmi Mrakibu mwandamizi wa...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA MSASANI

Meneja wa Vodacom wa kibiashara wilaya ya Kinondoni Edger Jonas akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa duka jipya la Vodacom maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam, wanaoshuhudia kutoka kulia kwake ni Meneja wa Mauzo ya rejareja Elihuruma Ngowi, Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Msimamizi wa Maduka ya Vodacom Magret Lawrence. Uzinduzi wa duka hilo unaifanya Vodacom kufikisha jumla ya maduka 76 yaliyokwisha...

 

11 years ago

Habarileo

Tigo yafungua duka jipya Songea

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imefungua duka jipya la huduma kwa wateja mjini Songea. Duka hilo litarahisisha upatikanaji wa huduma zake kwa wateja, ambao awali walikuwa hawana namna ya kupata huduma za moja kwa moja kutoka kwenye kampuni hiyo ya simu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yafungua duka lililokarabatiwa Jijini Arusha

1

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akikata utepe kuzindua Tawi la Kampuni ya Tigo mjini Arusha,wanaoshuhudia kulia ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe na kushoto ni Mwangaza Matotola, Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo.

2

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe.Christopher Kangoye akangalia bidhaa zilizomo ndani ya Duka la Tigo mara baada ya kuzindua duka hilo, kulia kwake anayetoa maelekezo ni Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya...

 

10 years ago

Habarileo

Voda yafungua duka jipya Quality Centre

KATIKA kuhakikisha wakazi wa Temeke na Ilala wanapata huduma kwa karibu, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imefungua duka jipya katika jengo la Quality Centre Uchumi.

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAFUNGUA DUKA JIPYA MJINI MOSHI

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Artel Bi. Adriana Lyamba akimuhudumia Bw. Ally Janja ambae ni Meneja wa Tawi la NBC Kilimanjaro na pia mmmoja kati ya wateja maalum wa Airtel wakiwa katika dula jipya la Airtel Moshi lenye kona maalum kwa wateja hao (Airtel Premium) mara baada ya duka hilo jipya na lakisasa kufunguliwa jana na Airtel mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Bi. Adriana Lyamba akijadiliana...

 

9 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA YAZINDUA DUKA UPYA JIJINI MWANZA‏

Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa,Dominician Mkama(wa kwanza kushoto) akishirikiana na baadhi ya wafanyakazi wenzake kukata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la kampuni hiyo mkoani mwanza baada ya kukarabatiwa upya katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika mwishoni mwa wiki. Baadhi ya wateja wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakigonganisha glasi kufurahia uzinduzi wa duka la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani