DKT. NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MASENETA KUTOKA UFARANSA
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akiongea na Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa leo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa, Bw. Herve Maurey (upande wa kulia mwa Naibu Waziri) akifafanua jambo wakati wa maongezi baina yao na Naibu Waziri, Dkt. Ndumbaro katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa maseneta kutoka Ufaransa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI DKT. NDUMBARO AFANYA ZIARA MIPAKA ILIYOPO MKOANI RUVUMA
Ziara hii ambayo inatokana na utekelezaji wa majukumu ya Wizara, ikiwemo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3utOxRsXGHI/XljZSiVGooI/AAAAAAAA98g/S0wRLhrl8SUCvsXphUN4uGqF4OyVoDGbACLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BUJIO%2BWA%2BMASENETA%2BKUTOKA%2BUFARANSA-2.jpg)
MASENETA WA UFARANSA KUFANYA ZIARA NCHINI
Ujumbe wa maseneta sita (6) kutoka Ufaransa unatarajiwa kufanya ziara nchini kuanzia tarehe 01 hadi 08 Machi, 2020.
Ujumbe huo utawasili nchini tarehe 29 Februari, 2020 kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar utaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ufaransa inayoshughulikia masuala ya Maendeleo Endelevu na Naibu Rais wa Kikundi cha Kirafiki na nchi za Bahari ya Hindi Seneta Harve Maurey.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3utOxRsXGHI/XljZSiVGooI/AAAAAAAA98g/S0wRLhrl8SUCvsXphUN4uGqF4OyVoDGbACLcBGAsYHQ/s640/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BUJIO%2BWA%2BMASENETA%2BKUTOKA%2BUFARANSA-2.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CwlckWTYaLE/VZeZVwBy5QI/AAAAAAAHmvM/xn3BcPKnUK4/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Dkt. Shein afanya Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa COMORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CwlckWTYaLE/VZeZVwBy5QI/AAAAAAAHmvM/xn3BcPKnUK4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FhzeODWRW7I/VZeZVzEZJSI/AAAAAAAHmvQ/TR8wGMU1-DI/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FLiJBuGCsno/VZpFXYaQYnI/AAAAAAAHnO8/ECzTBxRdhFw/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FLiJBuGCsno/VZpFXYaQYnI/AAAAAAAHnO8/ECzTBxRdhFw/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uX2GTKukywM/VZpFYLLCj9I/AAAAAAAHnPE/t3RkjbqTamU/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
5 years ago
MichuziRais wa Zanzibar Dkt. Shein afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa China
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GxgWrJ8o7jE/U2io7ld38mI/AAAAAAAFf34/6fJoreeDs4M/s72-c/unnamed+(6).jpg)
DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA OFISI YA RAIS,TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM ZA SMZ LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GxgWrJ8o7jE/U2io7ld38mI/AAAAAAAFf34/6fJoreeDs4M/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-e15_K2QQI3g/U2io8PvlANI/AAAAAAAFf38/fI5wprxsiwQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
GPLBALOZI MODEST MERO AFANYA MAZUNGUMZO NA MH. DKT. SEIF RASHID, WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII