Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maridhiano ni Ukawa kurudi bungeni-Mziray

BARAZA la Vyama vya Siasa, limeshangazwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kudai maridhiano wakati bado wanaendelea na mapambano kwa kukataa kurejea katika Bunge Maalumu la Katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mziray: Ukawa rudini bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kuga Mziray amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni kuendeleza mchakato wa kujadili Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ukawa waombwa kurudi Bungeni

1

Balozi wa amani Tanzania, Risasi Mwaulanga kiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari maelezo leo jijijni Dar es Salaam.

Na Rose Masaka-MAELEZO

UKAWA waombwa kukubali maoni ya watanzania walio wengi ya kuheshimu pesa za walipa kodi kwa kurudi bungeni na kupingana kwa hoja kwani hoja zao zikiwa za huakika hazitapingwa bali kanuni na taratibu zinazoendesha bunge zitafuatwa badala ya kuendelea kulalamika katika majukwaa ya kisiasa.

Kauli hiyo imetolewa na balozi wa amani Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu ‘awabembeleza’ Ukawa kurudi bungeni

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM bara), Mwigulu Nchemba ameutaka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni ili kukamilisha Mchakato wa Katiba Mpya kwa amani na utulivu.

 

11 years ago

KwanzaJamii

BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI

Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) akiwahutubia wananchi waliojitokeza kukiunga mkono chama hicho katika viwanja vya Welfare (Orofea) mkoani Iringa. Na Mathias Canal, Kwanza Jamii-Iringa. Ukawa waendelea na msimamo wa kutorejea kwenye  bunge la katiba kutokana na katiba hiyo kutokidhi matakwa ya watanzania walioshiriki kutoa maoni yao ambayo kwa sasa yamebadilishwa na kuwa mawazo ya wachache. Hayo yamebainishwa na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alipozungumza na Kwanza...

 

10 years ago

Michuzi

Wazee wa Dar es salaam wawataka UKAWA kurudi Bungeni. Na

 Immaculate Makilika –MAELEZO_DAR ES SALAAM WAZEE wa Mkoa wa Dar es salaam wamewaomba Umoja wa Katiba wa Wananchi (UKAWA) kurudi Bungeni ili kuendelea na mchakato wa majadiliano ya Rasimu ya Katiba Mpya yanayoendelea.  Wazee hao wamesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wakizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya siasa nchini pamoja na Bunge la Katiba Mpya linaloendelea mjini Dodoma. Akizungumza kwa niaba ya Wazee wenzake Kepteni Mstaafu Alhaji Mohamedi Ligora , amesema kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA

Video imepigwa na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa waukacha mkutano wa maridhiano

WAJUMBE wa Kamati ya Maridhiano ya Bunge Maalum la Katiba, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, wamekutana jijini Dar es Salaam, huku wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiukacha mkutano huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Haturudi bungeni

WAJUMBE  wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

‘UKAWA rudini bungeni’


NA FRANK KIBIKI, IRINGA
BARAZA la Maaskofu Tanzania (TEC), limeitaka serikali kuhakikisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanarejea bungeni bila masharti.
Limesema Bunge Maalumu la Katiba lipo na linaendeshwa kwa mujibu wa sheria hivyo, wajumbe wanapaswa kurejea pindi litakapoanza vikao vyake ili kuutendea haki mchakato wa Katiba Mpya.
Hata hivyo, limeonya kuwa iwapo wataendelea kukaidi,  wananchi wasiwachague tena kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwani, watakuwa wameshindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani