Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Chonde Ukawa rudini Bunge la Katiba

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewasihi viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyotarajiwa kuendelea tena kuanzia Agosti 5 mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

‘UKAWA rudini bungeni’


NA FRANK KIBIKI, IRINGA
BARAZA la Maaskofu Tanzania (TEC), limeitaka serikali kuhakikisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanarejea bungeni bila masharti.
Limesema Bunge Maalumu la Katiba lipo na linaendeshwa kwa mujibu wa sheria hivyo, wajumbe wanapaswa kurejea pindi litakapoanza vikao vyake ili kuutendea haki mchakato wa Katiba Mpya.
Hata hivyo, limeonya kuwa iwapo wataendelea kukaidi,  wananchi wasiwachague tena kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwani, watakuwa wameshindwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba

PG4A9843

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba  (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9873

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9890

Wajumbe wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mziray: Ukawa rudini bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Kuga Mziray amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni kuendeleza mchakato wa kujadili Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu: Ukawa rudini bungeni

KANISA Katoliki Tanzania limetoa tamko zito kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea, matukio yanayoashiria uchochezi wa dini na Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika mwaka kesho.

 

11 years ago

Habarileo

'Mliosusa Bunge Maalum rudini'

WAJUMBE wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi na baadhi ya kundi la 201 waliosusa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, wameombwa kurudi bungeni kutengeneza Katiba kwani mchakato huo ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa na Watanzania wote.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandaalizi ya Bunge la Katiba yamridhisha Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema ameridhishwa na kazi ya ukarabati inayoendelea kwenye maeneo mbalimbali ya Jengo la Bunge ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza Februari mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda: Bunge la Katiba lipo kisheria

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesisitiza kuwa hakuna sababu ya msingi ya kusitisha Bunge Maalumu la Katiba kwa kuwa mchakato wake unaoendelea sasa upo kisheria na ameomba waumini wa dini na viongozi wao kuombea ili uweze kumalizika kwa usalama.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba

KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba bila Ukawa

BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani