'Mliosusa Bunge Maalum rudini'
WAJUMBE wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi na baadhi ya kundi la 201 waliosusa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, wameombwa kurudi bungeni kutengeneza Katiba kwani mchakato huo ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa na Watanzania wote.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania