Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, amesema asilimia 10 ya madini yaliyopo nchini ndiyo yaliyochimbwa tangu shughuli za uchimbaji zianze.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
11 years ago
Habarileo16 May
Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’
HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kivuko cha Mv Magogoni shwari, yasema Serikali
10 years ago
Habarileo25 Feb
Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s72-c/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s1600/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
Kwa Msaada wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Jumamosi nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...