Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cNfN1CLnPuE/VeW44J9UPLI/AAAAAAAH1mY/pAFjEMfsgIg/s72-c/images.jpg)
SERIKALI YASEMA HAKUNA DENI HALALI LA WALIMU AMBALO HALIJALIPWA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-cNfN1CLnPuE/VeW44J9UPLI/AAAAAAAH1mY/pAFjEMfsgIg/s1600/images.jpg)
Aidha Serikali imependekeza kwamba halimashauri zilizowasilisha madeni ambayo si halali, yenye shaka, au watumishi wasio na madai, madai ya watumishi wasio na madai, madai ya watumishi waliokwishalipwa na waliowasilisha madai ya mishahara...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
10 years ago
Habarileo16 Aug
Serikali: Msihofu, hakuna ebola nchini
SERIKALI imewataka Watanzania kutokuwa na hofu ya ugonjwa wa ebola kwani wamejipanga ipasavyo na hakuna mgonjwa aliyethibitika kuwa na ugonjwa huo. Imesisitiza hivyo baada ya kuwapo na taarifa zisizo rasmi kwamba ugonjwa huo umeshaingia nchini.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Tanzania yathibitisha hakuna Ebola
10 years ago
Mwananchi21 Oct
‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Ebola:CAF yasema ina wasiwasi
11 years ago
Habarileo16 May
Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’
HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa