Ebola:CAF yasema ina wasiwasi
Shirikisho la soka barani Afrika CAF lina wasiwasi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
9 years ago
Habarileo30 Dec
CUF yasema ina imani na Magufuli
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewataka Wazanzibari kuwa watulivu na kumpa nafasi zaidi Rais John Magufuli kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ambao umetokana na kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Australia yasema ina matumaini MH370 itapatikana
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
ICC yasema ina ushahidi dhidi ya Gbagbo
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
US yasema ina uhakika kiasi Jihadi John aliuawa
9 years ago
Habarileo08 Oct
Tanesco yasema ina upungufu wa megawati 220 za umeme
SHIRIKA La Umeme Tanzania (Tanesco), limekiri kuwepo kwa upungufu wa umeme nchini kutokana na kuwa na upungufu wa megawati 220. Upungufu huo umesababisha shirika hilo kuzalisha umeme pungufu, ambapo kwa sasa ni megawati 720 badala ya megawati 940 zinazohitajika nyakati za usiku na megawati 870 nyakati za mchana.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76912000/jpg/_76912015_130983651.jpg)
Rwanda express Ebola concerns to Caf