CUF yasema ina imani na Magufuli
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewataka Wazanzibari kuwa watulivu na kumpa nafasi zaidi Rais John Magufuli kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ambao umetokana na kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Syria ina imani na washirika wake
10 years ago
Habarileo06 May
Ki-moon: Dunia ina imani na Kikwete
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesema dunia ina imani kubwa na Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wengine wa Jopo la Watu Maarufu Duniani waliopewa jukumu la kutafuta jinsi dunia inavyoweza kukabiliana na magonjwa ya milipuko, kama vile ebola, katika siku zijazo.
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Ebola:CAF yasema ina wasiwasi
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Australia yasema ina matumaini MH370 itapatikana
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
ICC yasema ina ushahidi dhidi ya Gbagbo
9 years ago
Habarileo08 Oct
Tanesco yasema ina upungufu wa megawati 220 za umeme
SHIRIKA La Umeme Tanzania (Tanesco), limekiri kuwepo kwa upungufu wa umeme nchini kutokana na kuwa na upungufu wa megawati 220. Upungufu huo umesababisha shirika hilo kuzalisha umeme pungufu, ambapo kwa sasa ni megawati 720 badala ya megawati 940 zinazohitajika nyakati za usiku na megawati 870 nyakati za mchana.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
US yasema ina uhakika kiasi Jihadi John aliuawa
9 years ago
StarTV09 Nov
CUF yasema haina mpango wa kurejea uchaguzi
Uongozi wa baraza kuu la chama cha wananchi CUF limesema halina mpango wa kurejea uchaguzi mkuu uliofutwa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar kwani kufutwa kwake hakukuzingatia katiba na sheria za uchaguzi.
Wamesema wanachosubiri ni kuheshimu katiba na maamuzi ya jumuiya za kimataifa kwa kukamilisha taratibu zilizobaki kwa tume na kumtangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na wanahabari visiwani Zanzibar mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF Twaha...