Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yasema ina upungufu wa megawati 220 za umeme

SHIRIKA La Umeme Tanzania (Tanesco), limekiri kuwepo kwa upungufu wa umeme nchini kutokana na kuwa na upungufu wa megawati 220. Upungufu huo umesababisha shirika hilo kuzalisha umeme pungufu, ambapo kwa sasa ni megawati 720 badala ya megawati 940 zinazohitajika nyakati za usiku na megawati 870 nyakati za mchana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Tanesco yasema kukatika kwa umeme kwa baadhi ya mikoa yatokana na hitilafu.

Shirika la umeme tanesco lamesema kukatika kwa umeme katika baadhi ya mikoa nchini kumesababishwa na hitilafu katika kituo kidogo cha kupoozea umeme wa gridi ya taifa kilichoko mkoani singida

Meneja wa tanseco mkoa wa singida gamba mahugila amesema hitilafu hiyo imetokea leo asubuhi na kusababisha kukatika kwa umeme katika mikoa ya singida, tabora, mwanza, mara, manyara, geita na sehemu ya mkoa wa arusha

Amesema tayari mafundi wa tanesco wanaendelea na matengenezo yaliyoanza saa tano asubuhi...

 

9 years ago

Mtanzania

Tanesco kuongeza megawati 125

mtanzania kila siku grace kenethd.inddNA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), linaendelea kupunguza makali ya mgawo wa umeme, baada ya kutangaza kuongeza megawati 125 ili kuhakikisha huduma hiyo inarudi katika hali ya kawaida.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba, alisema ili kuhakikisha nchi inarudi katika hali ya kawaida, mitambo hiyo itawashwa kwa awamu ndani ya wiki hii ambapo juzi wameanza kuwasha mtambo wa...

 

11 years ago

Habarileo

Umeme IPTL wafikia megawati 100

UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100, ambacho ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake. Kiwango hicho kilifikiwa Juni 15 mwaka huu, huku uongozi wa kampuni hiyo ukiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Sekta ya kilimo ina upungufu’

Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa kuzalisha nafaka kwa wingi (Nafaka Staples Values Chain Activity), Tom Carr amesema wakulima wa Tanzania wana malalamiko mengi yanayohitaji kutatuliwa haraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Joto ardhi kuzalisha megawati 5000 za umeme

Kupatikana kwa joto ardhi kwenye maeneo ya pembezoni mwa Bonde la Ufa, ni ugunduzi unaoelezwa kuwa chanzo tajiri cha nishati ambayo haijaanza kuvunwa nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji

JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.

 

9 years ago

Michuzi

TGDC YATARAJIA KUZALISHA UMEME MEGAWATI 200 IFIKAPO 2020.

 Meneja Mkuu wa Shirika la Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe akichangia mada wakati wa Warsha ya siku mbili inayofanyika Jijini Dar es Salaam inayowakutanisha wadau kutoka Mashirika mbalimbali yanayoshughulikia masuala ya jotoardhi kujadilia njia zilizotumiwa na baadhi ya mashirika kufanikiwa kupata nishati hiyo pamoja na uanishaji wa huduma tofauti zifanywazo na mashirika hayo katika kulisaidia shirika la TGDC nchini Tanzania, mashirika...

 

10 years ago

Habarileo

‘Tanzania ina upungufu wa vyuo vya uongozi thabiti’

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick SumayeAL I Y E K U W A Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amesema Tanzania ina upungufu mkubwa wa vyuo vinavyotakiwa kutoa fani ya uongozi thabiti.

 

9 years ago

Bongo5

Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua

Chuo kikuu cha Dodoma kinatarajia kuzalisha umeme wa jua utakaoweza kuzalisha megawati 50. Mradi huo mkubwa unatarajiwa kujengwa na kuwa mkubwa kuliko chuo chochote kuwahi kujenga ndani ya eneo la chuo duniani. Megawati hizo zitatumika kwa kuanzia kusambaza umeme kwenye mabweni, madarasa ya kufundishia, sehemu za kufanyia tafiti na eneo la madawa au huduma za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani