Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joto ardhi kuzalisha megawati 5000 za umeme

Kupatikana kwa joto ardhi kwenye maeneo ya pembezoni mwa Bonde la Ufa, ni ugunduzi unaoelezwa kuwa chanzo tajiri cha nishati ambayo haijaanza kuvunwa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

FORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI

Mkurugenzi wa Shirika la FORUMCC Rebecca Muna(kulia) akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuhusu maoni yao katika bajeti ya fedha ya mwaka 20/21 ya Wizara ya Nishati ambayo imezingatia umuhimu wa kuendeleza na kuimarisha matumizi ya nishati ya umeme itokanayo na jotoardhi. Kushoto ni Mratibu wa Miradi wa ForumCC Henry  Kazula.


Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry  Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...

 

9 years ago

Michuzi

TGDC YATARAJIA KUZALISHA UMEME MEGAWATI 200 IFIKAPO 2020.

 Meneja Mkuu wa Shirika la Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Boniface Njombe akichangia mada wakati wa Warsha ya siku mbili inayofanyika Jijini Dar es Salaam inayowakutanisha wadau kutoka Mashirika mbalimbali yanayoshughulikia masuala ya jotoardhi kujadilia njia zilizotumiwa na baadhi ya mashirika kufanikiwa kupata nishati hiyo pamoja na uanishaji wa huduma tofauti zifanywazo na mashirika hayo katika kulisaidia shirika la TGDC nchini Tanzania, mashirika...

 

9 years ago

Bongo5

Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua

Chuo kikuu cha Dodoma kinatarajia kuzalisha umeme wa jua utakaoweza kuzalisha megawati 50. Mradi huo mkubwa unatarajiwa kujengwa na kuwa mkubwa kuliko chuo chochote kuwahi kujenga ndani ya eneo la chuo duniani. Megawati hizo zitatumika kwa kuanzia kusambaza umeme kwenye mabweni, madarasa ya kufundishia, sehemu za kufanyia tafiti na eneo la madawa au huduma za […]

 

11 years ago

Michuzi

Mitambo ya IPTL yaanza kuzalisha megawati 100

·        IPTL kuongeza uzalishaji hadi megawati 200 mwakani·        Kushusha zaidi bei ya umeme hadi chini ya senti nane za marekani
UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100 ambayo ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake, kiwango kilichofikiwa tarehe 15 Juni, huku uongozi wa kampuni hiyo wakiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.  
Hayo yalibainishwa na Katibu na Mwanasheria Mkuu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Umeme IPTL wafikia megawati 100

UZALISHAJI umeme katika kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) umefikia megawati 100, ambacho ni kiwango cha juu cha uwezo wa mitambo yake. Kiwango hicho kilifikiwa Juni 15 mwaka huu, huku uongozi wa kampuni hiyo ukiahidi kutekeleza mipango mkakati yake yote ya utanuzi kwa awamu.

 

9 years ago

Vijimambo

Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kazi ya kuunganisha mabomba ya gesi kutoka Kinyelezi I kwenda katika mitambo ya Ubungo I na II, jijini Dar es Salaam imekamilika.

Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.

Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...

 

9 years ago

Habarileo

Tanesco yasema ina upungufu wa megawati 220 za umeme

SHIRIKA La Umeme Tanzania (Tanesco), limekiri kuwepo kwa upungufu wa umeme nchini kutokana na kuwa na upungufu wa megawati 220. Upungufu huo umesababisha shirika hilo kuzalisha umeme pungufu, ambapo kwa sasa ni megawati 720 badala ya megawati 940 zinazohitajika nyakati za usiku na megawati 870 nyakati za mchana.

 

10 years ago

Michuzi

Dola za Marekani Milioni 132 kutumika katika mradi mkubwa wa umeme wa upepo wa Megawati 50 Singida,Kutoa ajira 2,200

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa akitoa maagizo kwa Wakandarasi, Wataalamu kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco), Wizara ya Nishati na Madini na viongozi mbalimbali kwenye majumuisho ya ziara ya kamati hiyo, baada ya kufanya ukaguzi wa miradi ya umeme mkoani Singida pamoja na kuzungumza na wananchi. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa (katikati) akisisitiza jambo katika eneo la mradi wa kuzalisha...

 

11 years ago

Mwananchi

TPCC kuanza kuzalisha umeme wake

Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), ina mpango wa kujenga uwezo wa kuzalisha umeme wake ili kupunguza au kuondoa tatizo la nishati hiyo wakati wa uzalishaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani