Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua
Chuo kikuu cha Dodoma kinatarajia kuzalisha umeme wa jua utakaoweza kuzalisha megawati 50. Mradi huo mkubwa unatarajiwa kujengwa na kuwa mkubwa kuliko chuo chochote kuwahi kujenga ndani ya eneo la chuo duniani. Megawati hizo zitatumika kwa kuanzia kusambaza umeme kwenye mabweni, madarasa ya kufundishia, sehemu za kufanyia tafiti na eneo la madawa au huduma za […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Joto ardhi kuzalisha megawati 5000 za umeme
Kupatikana kwa joto ardhi kwenye maeneo ya pembezoni mwa Bonde la Ufa, ni ugunduzi unaoelezwa kuwa chanzo tajiri cha nishati ambayo haijaanza kuvunwa nchini.
9 years ago
MichuziTGDC YATARAJIA KUZALISHA UMEME MEGAWATI 200 IFIKAPO 2020.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jQh0cxvzu1U/VgDvLBSjn3I/AAAAAAAH6u4/NwdOSC5lfpU/s72-c/unnamed.jpg)
SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jQh0cxvzu1U/VgDvLBSjn3I/AAAAAAAH6u4/NwdOSC5lfpU/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jWgo50MeQJ8/VgDvE8wshEI/AAAAAAAH6uw/iWjd6cs7wpI/s1600/No%2BAttachName.bmp)
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania
“Kwa mara nyingine Symbion...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s72-c/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s1600/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhFLeolf9sM/VIRZU27nLGI/AAAAAAAA-ng/hywKAl8CAAY/s1600/MGENI%2BRASMI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf6rqYv4Pdo/VIRZUn4RaxI/AAAAAAAA-nY/QmoC9lkndoU/s1600/MKUU%2BWA%2BSKULI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5t-DEMmAVw/VIRZYEOJ5yI/AAAAAAAA-nw/SS7KNrcdkNg/s1600/KIAPO%2BCHA%2BWAUGUZI.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja.. Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa ) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho. CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU). Taarifa hiyo...
10 years ago
MichuziCRDB YAIPIGA 'JEKI' CHUO KIKUU CHA ST JOHN'S DODOMA
Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred akihutubia wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo Kikuu cha St. John's Mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu)
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dickson Chilongani (kushoto), akikabidhiwa na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred, mfano wa hundi na bahasha mara baada ya hotuba. Hundi hiyo ina thamani ya hundi ya sh. milioni 10 ukiwa ni msaada wa benki hiyo kwa Chuo Kikuu cha St. John's...
10 years ago
Michuzi07 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i8ohBcn84Tg/VZGc6gGrfnI/AAAAAAAHlvc/1B3D147jIDg/s72-c/1.jpg)
NMB Yakabidhi vifaa vya hospitali chuo kikuu cha Dodoma
Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwaajili ya zahanati ya chuo kikuu cha Dodoma vyenye thamani ya Shilingi milioni 20.
Vifaa hivyo vilivyotolewa kwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma – Prof Shaaban Mlacha ni pamoja na - Jokofu kwaajili ya benki ya Damu, Meza ya upasuaji (Operating Table), Taa maalumu za kwenye chumba cha upasuaji (Overhead Operating Lamp) vyote vikiwa na thamani ya shilingi Milioni 20.
Msaada huo ulipokelewa vyema na uongozi wa chuo kikuu cha Dodoma...
Vifaa hivyo vilivyotolewa kwa Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma – Prof Shaaban Mlacha ni pamoja na - Jokofu kwaajili ya benki ya Damu, Meza ya upasuaji (Operating Table), Taa maalumu za kwenye chumba cha upasuaji (Overhead Operating Lamp) vyote vikiwa na thamani ya shilingi Milioni 20.
Msaada huo ulipokelewa vyema na uongozi wa chuo kikuu cha Dodoma...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ccKulOaW9uk/VHnWXv51VPI/AAAAAAAG0L8/fV1vLUooQTo/s72-c/MMGM1020.jpg)
Binti wa Ankal alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-ccKulOaW9uk/VHnWXv51VPI/AAAAAAAG0L8/fV1vLUooQTo/s1600/MMGM1020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2L8CJA8Irw/VHnWVvM-97I/AAAAAAAG0Lo/vYm2o28KSmI/s1600/MMGM1002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQemSLagDgI/VHnWWMxx-sI/AAAAAAAG0Ls/G-poMA_hS5c/s1600/MMGM1014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QOXqWvDUBK4/VHnWYcv4H_I/AAAAAAAG0MI/ihClZMwISoc/s1600/MMGM1081.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D0L_G44kfcM/VHnWZvvmBYI/AAAAAAAG0MY/XD9F7g2H4Qw/s1600/MMGM1167n.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania