SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jQh0cxvzu1U/VgDvLBSjn3I/AAAAAAAH6u4/NwdOSC5lfpU/s72-c/unnamed.jpg)
DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana Ghuba ya Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania.
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania
“Kwa mara nyingine Symbion...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Oct
Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua
Chuo kikuu cha Dodoma kinatarajia kuzalisha umeme wa jua utakaoweza kuzalisha megawati 50. Mradi huo mkubwa unatarajiwa kujengwa na kuwa mkubwa kuliko chuo chochote kuwahi kujenga ndani ya eneo la chuo duniani. Megawati hizo zitatumika kwa kuanzia kusambaza umeme kwenye mabweni, madarasa ya kufundishia, sehemu za kufanyia tafiti na eneo la madawa au huduma za […]
9 years ago
MichuziZiara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.
Na Anitha Jonas –MAELEZO Wizara ya Nishati na Madini imewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha uzalishaji wa umeme katika Mradi wa Kinyerezi I na Kinyerezi II unakamilika ifikapo mwezi Februari 2016 na kuanza kufanya uzalishaji ilikuongeza kiasi cha nishati ya umeme kufikia zaidi ya Megawati 100. Agizo hilo lilitolewa leo na Naibu Waziri, Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani alipofanya ziara yake katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s72-c/No.1.jpg)
TPDC YAANZA KUZALISHA GESI YA KWANZA HUKO MNAZI BAY, MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s400/No.1.jpg)
Zoezi hili ni muendelezo wa ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Serikali wa kuzalisha gesi asilia kwa madhumuni ya kuzalisha umeme hapa nchini.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s72-c/g1.jpg)
NEWS ALERT: Hatimaye Gesi Asilia kutoka Mtwara yafika Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s640/g1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf60QxE590k/Ve6QVCNoTqI/AAAAAAAH3O4/W_68Hy-d-XY/s640/g1a.jpg)
11 years ago
MichuziMgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO
10 years ago
Michuzi03 Jan
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF
![](https://2.bp.blogspot.com/-eVPl6SLmRRk/Uw3KuFXRTMI/AAAAAAAA_b0/ZzcgTnhsFg0/s1600/TFF1.jpg)
9 years ago
TheCitizen17 Dec
Symbion power looking for investors in 600 mw Mtwara project
Several potential investors have shown strong interest in Symbion Power’s 600 MW gas-to-power project in Mtwara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania