Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.

Na Anitha Jonas –MAELEZO Wizara ya Nishati na Madini imewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha uzalishaji wa umeme katika Mradi wa Kinyerezi I na Kinyerezi II unakamilika ifikapo mwezi Februari 2016 na kuanza kufanya uzalishaji ilikuongeza kiasi cha nishati ya umeme kufikia zaidi ya Megawati 100.  Agizo hilo lilitolewa leo na Naibu Waziri, Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani alipofanya ziara yake katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AAGIZA KITUO CHA KUPOZA UMEME NYAKANAZI KIKAMILIKE NOVEMBA

 Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (katikati), akiangalia mchoro wa ramani ya kituo cha kupoza umeme kinachojengwa Nyakanazi, wilayani Biharamulo alipotembelea eneo hilo Februari 25, kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi husika.
 Msimamizi wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme Nyakanazi, Mhandisi Elias Makunga (wa tatu-kulia), akifafanua jambo kwa Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (kulia) kuhusu maendeleo ya mradi huo. Waziri alitembelea eneo hilo kujionea maendeleo yake,...

 

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x


Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani(wa kwanza) akizungumza na Bi Restuta Willbad wakati alipokwenda kukagua nyumba ya mwanakijiji huyo wa kijiji cha Isamilo, Wilaya ya Misungwi,Mkoani Mwanza,Moja ya Nyumba ambayo Waziri wa Nishati,Dkt Medard Kalemani ameikagua ambayo ipo katika kijiji cha Usagara Wilaya ya Misungwi,Mkoani MwanzaWaziri wa Nishati,Dkt Medard...

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha umeme Kinyerezi 1 kuanza majaribio mwakani

KITUO cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia cha Kinyerezi 1, kinatarajia kuanza kuzalisha umeme wa majaribio mwanzoni mwa mwakani, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la gesi linalotoa gesi hiyo Mtwara hadi Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1

Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wanja Mtawazo ( kulia) akisalimiana na Mbunge wa Lulindi- Masasi, Jerome  Bwanausi ( kushoto) ambaye ni mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini mara baada ya kamati hiyo kuwasili katika eneo la mtambo wa kufua umeme wa Kinyerezi I. Kamati hiyo inafanya ziara katika miradi ya umeme katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Singida, Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuzungumza na wadau wa madini ya...

 

9 years ago

Michuzi

SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM

  DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana  Ghuba ya  Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania. 
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania


“Kwa mara nyingine Symbion...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA,G/MBOTO NA KINYEREZI

 Waandishi wakiwasili kituo cha kupoza umeme Mbagala wakipokewa na Meneja Miradi Mhandisi Emmanuel Marirabona,(wa tatu kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba,(kushoto) na Meneja Miradi-Ufuaji Umeme, Mhandisi Simon Jilima,(wa pili kushoto).   Transfoma ya kuchuja nguvu za umeme iliyopo Mbagala. Wafanyakazi wakiendelea na kazi katika kituo cha Mbagala. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco,Felchesmi Mramba,(kulia) na...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA, G/MBOTO NA KINYEREZI

Waandishi wakiwasili kituo cha kupoza umeme Mbagala wakipokewa na Meneja Miradi Mhandisi Emmanuel Marirabona,(wa tatu kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba,(kushoto) na Meneja Miradi-Ufuaji Umeme, Mhandisi Simon Jilima,(wa pili kushoto). Transfoma ya kuchuja nguvu za umeme iliyopo… ...

 

9 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametembelea Kituo cha Kuzalisha umeme kwa nguvu ya maji cha Mtera kwa lengo la kujionea hali halisi ya kituo hicho.
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe na kufunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi mtambo wa kufua umeme kutokana na Gesi Asilia huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam.Mradi huo umejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 400.Kushoto ni mwakilishi wa benki ya African Development Bank(ADB) Bi Tonia Kandiero na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO Bwana Felchesmi Mramba.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa kufua umeme kutokana na gesi asilia muda mfupi baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani