‘Sekta ya kilimo ina upungufu’
Mkurugenzi Mkuu wa Mpango wa kuzalisha nafaka kwa wingi (Nafaka Staples Values Chain Activity), Tom Carr amesema wakulima wa Tanzania wana malalamiko mengi yanayohitaji kutatuliwa haraka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
Mahakama Kuu bado ina upungufu wa majaji
JAJI Kiongozi Fakhi Jundu amesema Mahakama Kuu bado inakabiliwa na tatizo la upungufu wa majaji, jambo linalosababisha jaji mmoja kusikiliza mashauri mengi kwa mwaka.
10 years ago
Habarileo09 Nov
‘Tanzania ina upungufu wa vyuo vya uongozi thabiti’
AL I Y E K U W A Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amesema Tanzania ina upungufu mkubwa wa vyuo vinavyotakiwa kutoa fani ya uongozi thabiti.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Tanesco yasema ina upungufu wa megawati 220 za umeme
SHIRIKA La Umeme Tanzania (Tanesco), limekiri kuwepo kwa upungufu wa umeme nchini kutokana na kuwa na upungufu wa megawati 220. Upungufu huo umesababisha shirika hilo kuzalisha umeme pungufu, ambapo kwa sasa ni megawati 720 badala ya megawati 940 zinazohitajika nyakati za usiku na megawati 870 nyakati za mchana.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya
Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zmOX2c2GZls/Xs0KoUkyoSI/AAAAAAAA4yE/swvnkXT83xoSMzUPm_8BkhXJVy2L_8wSQCNcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2BBM.jpg)
TEKNOLOJIA INAVYOSAIDIA KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA WATENDAJI KATIKA SEKTA YA AFYA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zmOX2c2GZls/Xs0KoUkyoSI/AAAAAAAA4yE/swvnkXT83xoSMzUPm_8BkhXJVy2L_8wSQCNcBGAsYHQ/s640/Picha%2BBM.jpg)
Hospitali na vituo vya afya vinapambana kuongeza nguvu kazi katika sekta ya afya katika kukabiliana na janga la corona.
Hitaji la watoa huduma za afya limekuwa kubwa kufuatia idadi kubwa ya waathirika wa virusi vya corona kwenye hospitali na vituo vya afya. Mchango wa kila mmoja katika sekta ya afya unahitajika katika kuhakikisha nchi inapita salama katika kipindi hiki kigumu.
Baadhi ya nchi zimekwenda mbali kwa kuwarudisha madaktari wastaafu na hata kuwatumia walikuwa katika mwaka wa...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Changamoto sekta ya kilimo zatajwa
TANZANIA inakabiliwa na changamoto zinazosababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo na kuhatarisha upatikanaji wa hakika wa chakula. Mkuu wa Taasisi ya Shirikishi Media kwa Maendeleo ya Jamii (PMCD), Josephat Mwanzi,...