Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo
Imeelezwa kuwa ofisa ugani mmoja anahudumia wakulima 2,500 katika Manispaa ya Iringa tofauti na uwiano wa kitaifa wa kuhudumia wakulima 800.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri
MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...
11 years ago
Habarileo08 Apr
Kamani kuomba ajira zaidi maofisa ugani
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amesema ataendelea kuwasiliana na Wizara ya nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Menejimenti ya Umma ili kuweza kupata kibali cha kuajiri watumishi zaidi hasa maofisa ugani wa mifugo.
9 years ago
Mwananchi20 Oct
‘Sekta ya kilimo ina upungufu’
10 years ago
Habarileo25 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua maofisa Wizara ya Kilimo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewafukuza kwenye kikao timu ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Sophia Kaduma na kuipa wiki mbili kutekeleza maagizo kisha kuifuata kamati hiyo mjini Dodoma.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana
POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Chelsea kushuka ugani dhidi ya Liverpool wikendi
9 years ago
StarTV11 Nov
Maafisa ugani walaumiwa kutotumia taaluma yao Mkinga
Maafisa ugani wamelaumiwa kwa kushindwa kutumia taaluma yao vizuri kuwaelimisha wakazi wa Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga kutumia fursa ya ardhi nzuri waliyonayo kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwamtumu Mahiza amesema licha ya halmashauri hiyo kuwa na maafisa ugani wa kutosha wameshindwa kuonyesha mchango wao hususani kwenye suala la kilimo.
Ziara ya mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza yenye lengo la kukagua na kuhimiza shughuli za maendeleo katika wilaya mbalimbali za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zM1T1Sw15h0/VZwzFhKs-QI/AAAAAAAHnm8/wrlf2I4UQ_4/s72-c/unnamed%2B%252873%2529.jpg)
Kinondoni yasaini mkatana wa ushirikiano na jiji la Hamburg, kujengewa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...