Kamati ya Zitto yawatimua maofisa Wizara ya Kilimo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewafukuza kwenye kikao timu ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Sophia Kaduma na kuipa wiki mbili kutekeleza maagizo kisha kuifuata kamati hiyo mjini Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Kamati ya Bunge yawatimua vigogo Wizara ya Kilimo
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Feb
11 years ago
Michuzi18 Jun
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Maofisa usalama wamwagwa mikutano ya kamati za Bunge
10 years ago
GPLWAZIRI WA USAFIRISHAJI WA UJERUMANI AZUNGUMZA NA MAOFISA WA WIZARA YA UCHUKUZI
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Magufuli aibukia Wizara ya Fedha, akosa maofisa ofisini
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dk Magufuli afanya ziara ya kushtukuza kwenye wizara ya fedha na kukuta maofisa wengi ‘wamekacha’ kazini
![12063128_1643793222525539_937422512_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12063128_1643793222525539_937422512_n-300x194.jpg)
Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli ameanza kuifanyia kazi kauli mbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’, kwa kufanya ziara ya kushtukiza kwenye wizara ya fedha Ijumaa hii.
Rais huyo amedaiwa kutembea kwa mguu kutoka ikulu hadi kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo kwakuwa hiyo ilikuwa ni ziara ya kushtukiza, maofisa wengi walikuwa nje ya ofisi wakipiga mishe mishe zingine.
Akiwa kwenye wizara hiyo, Dk Magufuli amekagua ofisi zote na...