Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Zitto yawatimua maofisa Wizara ya Kilimo

Mwenyekiti wa PAC, Kabwe ZittoKAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewafukuza kwenye kikao timu ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Sophia Kaduma na kuipa wiki mbili kutekeleza maagizo kisha kuifuata kamati hiyo mjini Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Bunge yawatimua vigogo Wizara ya Kilimo

>Vigogo wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika akiwamo Katibu Mkuu Sophia Kaduma, wametimuliwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) baada ya kutoa majibu yasiyoridhisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), jana iligeuka ‘mwiba mkali’ kwa watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Kampuni ya Ranchi ya Taifa (Narco) na Wizara ya Nishati na Madini, baada ya kuwatimua wakurugenzi na wenyeviti wa bodi kwa kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe na wizi.

 

9 years ago

Mwananchi

Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo

Imeelezwa kuwa ofisa ugani mmoja anahudumia wakulima 2,500 katika Manispaa ya Iringa tofauti na uwiano wa kitaifa wa kuhudumia wakulima 800.

 

11 years ago

Mwananchi

Maofisa usalama wamwagwa mikutano ya kamati za Bunge

Ofisi ya Bunge la Katiba imeweka maofisa usalama katika kumbi zote zinazotumika kufanya vikao vya kamati.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA USAFIRISHAJI WA UJERUMANI AZUNGUMZA NA MAOFISA WA WIZARA YA UCHUKUZI

Sehemu ya ujumbe wa Ujerumani wakiongozwa na Waziri wa Usafirishaji, Mathias Maching (wa tatu kulia). Mandhari ilivyokuwa katika chumba cha mikutano.…

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli aibukia Wizara ya Fedha, akosa maofisa ofisini

Rais Dk John Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika Wizara ya Fedha na kuwakosa ofisini maofisa wengi katika wizara hiyo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Dk Magufuli afanya ziara ya kushtukuza kwenye wizara ya fedha na kukuta maofisa wengi ‘wamekacha’ kazini

12063128_1643793222525539_937422512_n

Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli ameanza kuifanyia kazi kauli mbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’, kwa kufanya ziara ya kushtukiza kwenye wizara ya fedha Ijumaa hii.

12063128_1643793222525539_937422512_n

Rais huyo amedaiwa kutembea kwa mguu kutoka ikulu hadi kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.

10299753_459716437546849_1576084077_n

Hata hivyo kwakuwa hiyo ilikuwa ni ziara ya kushtukiza, maofisa wengi walikuwa nje ya ofisi wakipiga mishe mishe zingine.

20151106033935

Akiwa kwenye wizara hiyo, Dk Magufuli amekagua ofisi zote na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani