Magufuli aibukia Wizara ya Fedha, akosa maofisa ofisini
Rais Dk John Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika Wizara ya Fedha na kuwakosa ofisini maofisa wengi katika wizara hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dk Magufuli afanya ziara ya kushtukuza kwenye wizara ya fedha na kukuta maofisa wengi ‘wamekacha’ kazini
![12063128_1643793222525539_937422512_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12063128_1643793222525539_937422512_n-300x194.jpg)
Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli ameanza kuifanyia kazi kauli mbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’, kwa kufanya ziara ya kushtukiza kwenye wizara ya fedha Ijumaa hii.
Rais huyo amedaiwa kutembea kwa mguu kutoka ikulu hadi kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo kwakuwa hiyo ilikuwa ni ziara ya kushtukiza, maofisa wengi walikuwa nje ya ofisi wakipiga mishe mishe zingine.
Akiwa kwenye wizara hiyo, Dk Magufuli amekagua ofisi zote na...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri wa Muungano...
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Magufuli azuru Wizara ya Fedha
9 years ago
CCM Blog07 Nov
RAIS DK. MAGUFULI ATINGA GHAFLA WIZARA YA FEDHA LEO
![mg1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg1.jpg)
![mg2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg2.jpg)
![mg3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vlUUohP1XtA/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA
9 years ago
StarTV19 Dec
Watumishi Wizara ya Afya wahimizwa kuwahi ofisini
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Hamis Kigwangala amesema ni marufuku kwa mtumishi wa wizara hiyo kuchelewa kazini ili kuendana na kasi ya maendeleo.
Uamuzi huo umekuja baada ya Naibu waziri huyo kuingia kazini saa 12 na robo asubuhi na kukuta Waziria, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa rasilimali watu kuwa miongoni mwa watumishi waliowahi wakati watumishi wengine wakiwa bado hawajafika ofisini.
Zama za uwajibikaji, ndio hali halisi iliyojitokeza katika lango kuu...
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC