Watch “Zitto Ailamu Wizara ya Nyalandu” on YouTube — Zitto Ailamu Wizara ya Nyalandu
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Oct
Wizara yamsafisha Nyalandu
WIZARA ya Maliasili na Utalii imekanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa katika wizara hiyo za Waziri Lazaro Nyalandu kutoa leseni ya Rais bure ya kuua wanyamapori. Imebainisha kuwa habari hizo siyo za kweli, bali zinalenga kuchafua jina la Wizara pamoja na Waziri husika.
10 years ago
GPLZITTO AMTAKA WAZIRI NYALANDU KUJIUZULU AKISHINDWA KUTOA TANGAZO GAZETINI LEO JIONI
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Maalim Seif akabidhiwa fomu za urais Zanzibar, ailamu ZEC
10 years ago
Habarileo25 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua maofisa Wizara ya Kilimo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewafukuza kwenye kikao timu ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Sophia Kaduma na kuipa wiki mbili kutekeleza maagizo kisha kuifuata kamati hiyo mjini Dodoma.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-00.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s640/Pix-00.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/Pix-02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xfVLhx7eX64/XrT-0V9LHaI/AAAAAAALpdE/VlhmEtybrTMhp0GbMfl4etz9-fcduuybQCLcBGAsYHQ/s72-c/f0482d37-ab23-4abf-9fb8-1917c96f684b.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA WIZARA YA MUUNGANO NA MAZINGIRA YAWEKA MIKAKATI YA PAMOJA KULILINDA BWAWA LA NYERERE MW 2115.
NaFarida Saidy,Morogoro.
Kufuatia athari zilizojitokeza za mafuriko kwa baadhi ya vijiji vya wilaya ya kilombero mkoani Morogoro baada ya maji kufunguliwa katika bwawa la kufua umeme la Kidatu mawaziri wawili wa Nishati Dkt.Medard Kalemani na Mussa Zungu wa Muungano na Mazingira wamefanya ziara ya kukagua madhara yaliyojitokeza katika Wilaya hiyo.
Lengo la ziara hiyo ni kunagalia namna ya kudhibiti uharibufu uliojitokeza katika mabwawa ya kuzalishia umeme ya Mtera na Kidatu,ambapo Waziri wa...