Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana

POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwongozo mpya wa unywaji pombe kutolewa

Uingereza inatarajiwa kutoa mwongozo mpya kuhusu unywaji pombe ambapo kiwango kinachopendekezwa kwa wanaume kitawekwa sawa na cha wanawake.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni

Unywaji pombe

Unywaji pombe

NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM

UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Alisema hali hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani

POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.

 

10 years ago

Mwananchi

Pombe yaathiri uchumi Rombo

Wakati serikali imefunga viwanda 21 vya pombe kutokana na kutokidhi viwango, imebainika kuwa unywaji wa kilevi umesababisha uchumi wilayani Rombo kushuka.

 

9 years ago

GPL

SHOGA, UONJWE WE POMBE YA KIENYEJI?

Jamani hebu nitumieni basi mvuke salama, hivi muoaji wa kweli humuonja mwanamke ndipo amuoe kweli? Mmh! Simpendi jamani mwanamke kugeuzwa chungu cha mboga kuingiza mkono na kuonja. Utaonjwa na wangapi mwisho wa siku unabaki kituko cha mtaa. Najua utashangaa kuona nimeanza na gia kubwa bila hata kutanguliza salamu, kwa kweli jambo linaloniudhi salamu kwangu si muhimu, kama kulizungumzia lililouchefua moyo wangu. Juzi nilipata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine

Wilfred Bungei wa Kenya, Bingwa wa Olimpiki wa mbio za mita 800, Beijing, asimulia namna alivyopigana na unywaji wa pombe kupindukia.

 

5 years ago

Michuzi

SINGIDA KUFUNGA VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI KWA WASIOFUATA MASHARTI YA KUJIKINGA NA KORONA


Na Jumbe Ismailly SINGIDA

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dkt Rehema Nchimbi amesema serikali Mkoani hapa inatarajia kuwafungia watu wote wanaofanya biashara za kuuza pombe za asili (kienyeji) watakaoshindwa kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Dkt Nchimbi alitoa agizo hilo kwenye mkutano wa Baraza la Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Singida waliokutana kujadiliana pamoja na mambo mengine tahadhari ya kujikinga na janga na kitaifa la ugonjwa hata korona....

 

9 years ago

Mwananchi

Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo

Imeelezwa kuwa ofisa ugani mmoja anahudumia wakulima 2,500 katika Manispaa ya Iringa tofauti na uwiano wa kitaifa wa kuhudumia wakulima 800.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani