Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana
POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Mwongozo mpya wa unywaji pombe kutolewa
10 years ago
Mtanzania08 Oct
Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni
![Unywaji pombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/pombe2.jpg)
Unywaji pombe
NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Alisema hali hiyo...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani
POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Pombe yaathiri uchumi Rombo
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9uewYa-9tzfwS8K21bAtp13rzBmzyhxRFQm4B6AiBppgr71iNM8nVdqtlRy7jUwbxu1IazkPgLf3maz9d62e3XrW/Vanessa3.jpg)
SHOGA, UONJWE WE POMBE YA KIENYEJI?
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma
WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine
5 years ago
MichuziSINGIDA KUFUNGA VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI KWA WASIOFUATA MASHARTI YA KUJIKINGA NA KORONA
Na Jumbe Ismailly SINGIDA
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dkt Rehema Nchimbi amesema serikali Mkoani hapa inatarajia kuwafungia watu wote wanaofanya biashara za kuuza pombe za asili (kienyeji) watakaoshindwa kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.
Dkt Nchimbi alitoa agizo hilo kwenye mkutano wa Baraza la Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Singida waliokutana kujadiliana pamoja na mambo mengine tahadhari ya kujikinga na janga na kitaifa la ugonjwa hata korona....
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Upungufu wa maofisa ugani wadhoofisha kilimo