Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwongozo mpya wa unywaji pombe kutolewa

Uingereza inatarajiwa kutoa mwongozo mpya kuhusu unywaji pombe ambapo kiwango kinachopendekezwa kwa wanaume kitawekwa sawa na cha wanawake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni

Unywaji pombe

Unywaji pombe

NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM

UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Alisema hali hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani

POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana

POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...

 

5 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine

Wilfred Bungei wa Kenya, Bingwa wa Olimpiki wa mbio za mita 800, Beijing, asimulia namna alivyopigana na unywaji wa pombe kupindukia.

 

5 years ago

Mwananchi

Staili mpya ya unywaji wa ‘viroba’ yabainika

Baada ya Serikali kupiga marufuku matumizi ya pombe kali zinazofungashwa kwenye mifuko ya plastiki maarufu viroba, wauzaji na watumiaji wake wameibuka na mbinu mpya ya kupata kinywaji hicho.

 

11 years ago

Habarileo

Mama Salma azindua mwongozo mpya wa Ukimwi

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete.MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amezindua rasmi mwongozo mpya wa Kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT option B+) katika Mkoa wa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu

Na Rose Masaka,Maelezo 
 Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Kibadeni aibua mpya kutolewa Kili Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibaden amedai Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lilichangia timu yake kutolewa katika michuano ya Chalenji.

 

10 years ago

Raia Mwema

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani