Mwongozo mpya wa unywaji pombe kutolewa
Uingereza inatarajiwa kutoa mwongozo mpya kuhusu unywaji pombe ambapo kiwango kinachopendekezwa kwa wanaume kitawekwa sawa na cha wanawake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Oct
Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni
![Unywaji pombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/pombe2.jpg)
Unywaji pombe
NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Alisema hali hiyo...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani
POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana
POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Staili mpya ya unywaji wa ‘viroba’ yabainika
11 years ago
Habarileo23 Jan
Mama Salma azindua mwongozo mpya wa Ukimwi
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amezindua rasmi mwongozo mpya wa Kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT option B+) katika Mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SNKTMDNspZY/U_Tul29i0_I/AAAAAAAGBB0/xZ_wi-ZkQqA/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu
Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Kocha Kibadeni aibua mpya kutolewa Kili Stars
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibaden amedai Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lilichangia timu yake kutolewa katika michuano ya Chalenji.
10 years ago
Raia Mwema29 Jul