Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni
Unywaji pombe
NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Alisema hali hiyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Mwongozo mpya wa unywaji pombe kutolewa
10 years ago
Habarileo08 Oct
Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani
POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana
POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nH3j6gtt2HE/XrVrkGwxsqI/AAAAAAALpgA/1SVVy84T6_IIVWise3b054eCEoIPWtHqgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1-1AA-768x563.jpg)
NAIBU SPIKA AFUNGUA MAFUNZO YA WABUNGE WANAUME VINARA WA MASUALA YA JINSIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nH3j6gtt2HE/XrVrkGwxsqI/AAAAAAALpgA/1SVVy84T6_IIVWise3b054eCEoIPWtHqgCLcBGAsYHQ/s640/PIC-1-1AA-768x563.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nH3j6gtt2HE/XrVrkGwxsqI/AAAAAAALpgA/1SVVy84T6_IIVWise3b054eCEoIPWtHqgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1-1AA-768x563.jpg)
NAIBU SPIKA TULIA AFUNGUA MAFUNZO YA WABUNGE WANAUME VINARA WA MASUALA YA JINSIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nH3j6gtt2HE/XrVrkGwxsqI/AAAAAAALpgA/1SVVy84T6_IIVWise3b054eCEoIPWtHqgCLcBGAsYHQ/s400/PIC-1-1AA-768x563.jpg)
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto), akizungumza jambo wakati alipofungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja na kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Umoja ya Wabunge Wanawake (TWPG) Mhe. Zainab Vullu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIC-1AAA-1024x597.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Fedha za TASAF Mkalama Singida wanaume wazipora na kunywea pombe
Mwenyekiti wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Jackson Mkoma, akifungua mkutano wa tathmini ya matumizi ya fedha za TASAF awamu ya nne uliofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya kituo cha kilimo cha kijiji hicho.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
BAADHI ya wanaume wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoani Singida, wametuhumiwa kuwanyang’anya wake zao fedha za mradi wa kunusuru kaya maskini sana zinazotolewa na TASAF,na kuzitumia kunywea...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-445jNRmaLQ/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Ufisadi mkubwa Manispaa ya K’ndoni