Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za TASAF Mkalama Singida wanaume wazipora na kunywea pombe

DSC05606

Mwenyekiti wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Jackson Mkoma, akifungua mkutano wa tathmini ya matumizi ya fedha za TASAF awamu ya nne uliofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya kituo cha kilimo cha kijiji hicho.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

BAADHI ya wanaume wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti  wilaya ya Mkalama mkoani Singida, wametuhumiwa kuwanyang’anya wake zao fedha za mradi wa kunusuru kaya maskini sana zinazotolewa na TASAF,na kuzitumia kunywea...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mhe. MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA, SINGIDA


Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, mkoani Singida, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa huo Mhe. Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Mhe Mlata, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama

IMG_1029

Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...

 

10 years ago

Dewji Blog

TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama

DSC03256

Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Mkalama

Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza  viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni  wa...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AFANYA ZIARA WILAYA MPYA YA MKALAMA,KUUNGURUMA LEO LIVE STAR TV MKUTANO WA HADHARA MJINI SINGIDA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na Msafara wake wakielekea kukagua mradi wa ujenzi wa Daraja la Mto Sibiti linalounganisha wilaya za Meatu mkoani Simiyu na Mkalama, Singida wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kinana leo na viongozi mbalimbali wa chama hicho...

 

11 years ago

Dewji Blog

Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana

apishwa

Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.

naapa

Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.

Na Hillary Shoo, MKALAMA

VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.

Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...

 

10 years ago

Mtanzania

Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni

Unywaji pombe

Unywaji pombe

NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM

UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Alisema hali hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dkt. Rehema Nchimbi akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenge, nyuma  yake ni Kamati ya Kudumu ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyotembelea kukagua  Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Anjelina Lutambi akiwahutubia wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mwenge nyuma yake in Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
  Mkurugenzi Mkuu wa  TASAF Radislaus Mwamanga akiangalia bidhaa za sabuni zinazotengenzwa na mnufaika wa...

 

10 years ago

Habarileo

TASAF Singida wahudumia kaya 40,200

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida umetumia zaidi ya Sh bilioni 4.2 katika kipindi cha miezi sita iliyopita ili kuhudumia kaya zaidi ya 40,200 kwenye mpango wake wa kunusuru kaya maskini mkoani humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yatoa sh. 17.5 milioni kwa tarafa ya Unyakumi Singida

DSC04785

Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mungung’una tarafa ya Umyakumi manispaa ya Singida, wakipokea fedha kutoka TASAF ambazo zinatolewa na mpango wa kunusuru kaya maskini. 

Wakazi 512 wa mtaa wa Munung’una kata ya Minga tarafa ya Unyakumi manispaa ya Singida, ambao wametambulika kwenye kaya maskini, wamenufaika kwa kupewa na TASAF manispaa  zaidi ya shilingi 17.5 milioni zikiwa ni katika mpango wa kunusuru kaya maskini.

Msaada huo kutoka serikalini,kima cha chini kilikuwa shilingi 20,000 na cha juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani