Fedha za TASAF Mkalama Singida wanaume wazipora na kunywea pombe
Mwenyekiti wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Jackson Mkoma, akifungua mkutano wa tathmini ya matumizi ya fedha za TASAF awamu ya nne uliofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya kituo cha kilimo cha kijiji hicho.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
BAADHI ya wanaume wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoani Singida, wametuhumiwa kuwanyang’anya wake zao fedha za mradi wa kunusuru kaya maskini sana zinazotolewa na TASAF,na kuzitumia kunywea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
Mhe. MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA, SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, mkoani Singida, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa huo Mhe. Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Mhe Mlata, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama
Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--2QJxdvw2Fg/U4Ds1MuJGiI/AAAAAAACiCU/kXQi54gg87c/s72-c/1.jpg)
KINANA AFANYA ZIARA WILAYA MPYA YA MKALAMA,KUUNGURUMA LEO LIVE STAR TV MKUTANO WA HADHARA MJINI SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/--2QJxdvw2Fg/U4Ds1MuJGiI/AAAAAAACiCU/kXQi54gg87c/s1600/1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.
Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.
Na Hillary Shoo, MKALAMA
VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.
Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...
10 years ago
Mtanzania08 Oct
Wanaume vinara unywaji pombe K’ndoni
![Unywaji pombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/pombe2.jpg)
Unywaji pombe
NA ESTHER MBUSSI, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), umeonyesha asilimia 55.5 ya wanaume katika Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ni vinara wa ulevi wa pombe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo, Msimamizi wa Utafiti, Dk. Severine Kessy, alisema kukithiri huko kwa ulevi kumesababisha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Alisema hali hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s72-c/aa.jpg)
WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s640/aa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2wUvXErMQus/XmuSfiH5lbI/AAAAAAAAgEg/ZNyxLldPKCECoF6L997pewnX2UMme1QpgCLcBGAsYHQ/s640/bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FHPxCAUzavY/XmuShTFlN_I/AAAAAAAAgEk/Tf5cf3j5CMsbTopRXKjdOzn5wOTSpdwxwCLcBGAsYHQ/s640/cc.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Mar
TASAF Singida wahudumia kaya 40,200
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Singida umetumia zaidi ya Sh bilioni 4.2 katika kipindi cha miezi sita iliyopita ili kuhudumia kaya zaidi ya 40,200 kwenye mpango wake wa kunusuru kaya maskini mkoani humo.
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
TASAF yatoa sh. 17.5 milioni kwa tarafa ya Unyakumi Singida
Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mungung’una tarafa ya Umyakumi manispaa ya Singida, wakipokea fedha kutoka TASAF ambazo zinatolewa na mpango wa kunusuru kaya maskini.
Wakazi 512 wa mtaa wa Munung’una kata ya Minga tarafa ya Unyakumi manispaa ya Singida, ambao wametambulika kwenye kaya maskini, wamenufaika kwa kupewa na TASAF manispaa zaidi ya shilingi 17.5 milioni zikiwa ni katika mpango wa kunusuru kaya maskini.
Msaada huo kutoka serikalini,kima cha chini kilikuwa shilingi 20,000 na cha juu...