Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dkt. Rehema Nchimbi akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenge, nyuma  yake ni Kamati ya Kudumu ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyotembelea kukagua  Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Anjelina Lutambi akiwahutubia wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mwenge nyuma yake in Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
  Mkurugenzi Mkuu wa  TASAF Radislaus Mwamanga akiangalia bidhaa za sabuni zinazotengenzwa na mnufaika wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAVUTIWA NA MAFANIKIO YA WALENGWA WA TASAF MKOANI SINGIDA.



Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakiwa katika eneo la mmoja wa Walengwa wa TASAF (bi. Edith Makala ) wakishuhudia namna mradi wake ya kushona nguo aliouanzisha baada ya kupata ruzuku ya TASAF unavyotekelezwa.

Mmoja wa walengwa wa TASAF Bi. Esther Mangi Nkumbi (aliyevaa kitambaa cha bluu kichwani ) akiwaelezea wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa namna alivyonufaika na ruzuku kutoka TASAF kwa kuanzisha shughuli ya...

 

5 years ago

Michuzi

ALAT wapongeza usimamizi wa miradi ya maendeleo Makete


Na Amiri kilagalila,Njombe

Wajumbe wa jumuiya ya tawala za serikali za mitaa (ALAT) mkoa wa Njombe,wametembelea na kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya uthibiti ubora wa shule wilayani humo ambalo Ujenzi wake umekamilika.

Wakiongozwa na mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Njombe Mhe,Hanana Mfikwa,wajumbe hao wamepokea taarifa ya ujenzi wa jengo hilo kutoka kwa mthibiti mkuu ubora wa shule wilaya ya Makete Bw, John Kapinga ambae amesema April 2019 serikali ilitoa fedha za kitanzania kiasi...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wapongeza msimamo wa Kanisa

WABUNGE na Wawakilishi kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepongeza hatua ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kueleza kuwa kanisa halikutoa msimamo wake juu ya muundo wa serikali unaotakiwa. Pia wameelezea hofu zao kuhusu uwepo wa dalili za baadhi ya vyama vya upinzani, kutaka kuvuruga mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli

DSCN5521

Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.

DSCN5520

Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...

 

9 years ago

Dewji Blog

BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!

bakwataa

Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.

Na Nathaniel Limu

[SINGIDA]

Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi  kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.

Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watendaji simamieni miradi ya TASAF’

WATENDAJI  wa kata na vijiji wametakiwa kusimamia  miradi ipasavyo  ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ili kuzinusuru kaya maskini. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, alitoa kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi Tasaf mkombozi Kongwa

NI ukweli usiopingika kuwa Watanzania wengi ni maskini licha ya kuwa taifa lina rasilimali nyingi. Kuthibitisha ukweli huo ni kwamba kuna familia zinakula mlo mmoja kwa siku tena kwa shaka...

 

10 years ago

Habarileo

Tasaf walaumiwa kwa kutokamilisha miradi

VITENDO vya udanganyifu kwenye utekelezaji wa miradi ya kijamii (TASAF) vimeonekana kukithiri ambapo miradi mingi imeonekana kutokamilika na huku mingine ikiwa chini ya kiwango kwa awamu ya kwanza na ya pili zilizopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino

WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani