WABUNGE WAVUTIWA NA MAFANIKIO YA WALENGWA WA TASAF MKOANI SINGIDA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4ggCYvD41tg/XmsTo23261I/AAAAAAALi3g/zbT4tnyXmRsX7MplVWEoJT89oAm700P_QCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakiwa katika eneo la mmoja wa Walengwa wa TASAF (bi. Edith Makala ) wakishuhudia namna mradi wake ya kushona nguo aliouanzisha baada ya kupata ruzuku ya TASAF unavyotekelezwa.
Mmoja wa walengwa wa TASAF Bi. Esther Mangi Nkumbi (aliyevaa kitambaa cha bluu kichwani ) akiwaelezea wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa namna alivyonufaika na ruzuku kutoka TASAF kwa kuanzisha shughuli ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s72-c/aa.jpg)
WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s640/aa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2wUvXErMQus/XmuSfiH5lbI/AAAAAAAAgEg/ZNyxLldPKCECoF6L997pewnX2UMme1QpgCLcBGAsYHQ/s640/bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FHPxCAUzavY/XmuShTFlN_I/AAAAAAAAgEk/Tf5cf3j5CMsbTopRXKjdOzn5wOTSpdwxwCLcBGAsYHQ/s640/cc.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yYruf1t-f4M/XmuNY3o2c4I/AAAAAAAC8bY/JihAvaiAr9QZVB6ePVHtXVwRY-vSsFllACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU†YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA
James Mwanamyoto - Singida
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Manispaa ya Singida, Mtaa wa Sokoine, amesimamia vema Kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambayo imemuwezesha kuinua uchumi wa familia yake kupitia ruzuku ya TASAF.
Akitoa ushuhuda jana, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa ziara ya kamati hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xPl0ReMw8ws/VKOBPAviBrI/AAAAAAACxAA/nXtVp228jfs/s72-c/New%2BPicture.png)
WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WACHIMBA MTARO WA MAJI
Maelfu ya wakazi wa shehia ya Mpapa wilaya ya Kusini Unguja wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa maji unaotekelezwa na walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utaratibu wa ajira ya muda PWP.
Wakizungumza katika eneo...
11 years ago
MichuziTASAF YATOA MAFUNZO KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI HUKO UNGUJA
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taarifa fupi ya mafanikio ya utekelezaji wa shughuli za serikali mkoani Singida kipindi cha 2005 — 2014
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Parseko Vicent Kone.
Katibu Tawala Mkoa wa Singida Bw. Liana Hassan.
Jengo la OPD katika Hospitali Mpya ya rufaa ya Mkoa wa Singida.
Jengo la utambuzi wa Magonjwa katika Hospitali Mpya ya rufaa ya Mkoa wa Singida.
TAARIFA FUPI YA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA.doc by moblog
10 years ago
Michuzi08 Oct
TAARIFA FUPI YA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI MKOANI SINGIDA KIPINDI CHA 2005 - 2014
![Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Parseko Vicent Kone](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Mkuu-wa-Mkoa-wa-Singida-Dokta-Parseko-Vicent-Kone.jpg)
![Katibu Tawala Mkoa wa Singida Bw. Liana Hassan.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Katibu-Tawala-Mkoa-wa-Singida-Bw.-Liana-Hassan..jpg)
![Jengo la OPD katika Hospitali Mpya ya rufaa ya Mkoa wa Singida.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Jengo-la-OPD-katika-Hospitali-Mpya-ya-rufaa-ya-Mkoa-wa-Singida..jpg)
![Jengo la utambuzi wa Magonjwa katika Hospitali Mpya ya rufaa ya Mkoa wa Singida.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Jengo-la-utambuzi-wa-Magonjwa-katika-Hospitali-Mpya-ya-rufaa-ya-Mkoa-wa-Singida..jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxIeoL6fQOY/VKFikpTsRoI/AAAAAAAG6bQ/YwIkYHvyGfk/s72-c/New%2BPicture.png)
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...