Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi Tasaf mkombozi Kongwa

NI ukweli usiopingika kuwa Watanzania wengi ni maskini licha ya kuwa taifa lina rasilimali nyingi. Kuthibitisha ukweli huo ni kwamba kuna familia zinakula mlo mmoja kwa siku tena kwa shaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TASAF YAWAPATIA "MSHIKO" WA RUZUKU WATU WALIO NA KIPATO CHA UMASKINI WILAYANI KONGWA

Vikongwe hawa wa kijiji cha Mkoka, wilayani Kongwa mkoa wa Dodoma, wanaotoka kwenye kaya masikini ambao wako kwenye mpango wa kupatiwa ruzuku ya mwezi na TASAF, wakisubiri kupatiwa fedha hizo “mshiko” . Mpango huo wa TASAF awamu ya tatu, umewabainisha malofa ni wale waliokwenye umasikini uliopindukia ambao kipato chao ni chini ya dola moja ya Kimarekani kwa siku.Watu walio kwenye umasikini uliopindukia,  wakiwa kwenye foleni ya kupatiwa ruzuku ya kila mwezi ya shilingi elfu 10, kijiji cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watendaji simamieni miradi ya TASAF’

WATENDAJI  wa kata na vijiji wametakiwa kusimamia  miradi ipasavyo  ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ili kuzinusuru kaya maskini. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, alitoa kauli...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dkt. Rehema Nchimbi akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenge, nyuma  yake ni Kamati ya Kudumu ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyotembelea kukagua  Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Anjelina Lutambi akiwahutubia wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mwenge nyuma yake in Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
  Mkurugenzi Mkuu wa  TASAF Radislaus Mwamanga akiangalia bidhaa za sabuni zinazotengenzwa na mnufaika wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino

WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...

 

10 years ago

Habarileo

Tasaf walaumiwa kwa kutokamilisha miradi

VITENDO vya udanganyifu kwenye utekelezaji wa miradi ya kijamii (TASAF) vimeonekana kukithiri ambapo miradi mingi imeonekana kutokamilika na huku mingine ikiwa chini ya kiwango kwa awamu ya kwanza na ya pili zilizopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Tasaf yalaumu uzembe kwenye miradi

. Licha ya Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo, mingi huishia kufa kutokana na sekta husika kutokuwa na ufuatiliaji na usimamizi wa kutosha.

 

10 years ago

Michuzi

TASAF yazindua Miradi ya kupunguza umaskini Njombe

Halmashauri 13 za Mikoa ya Njombe na Arusha zinaanza kunufaika na miradi ya kupunguza Umaskini ya OPEC Awamu ya tatu kwa Watu takribani Milioni 3.1 utakaotekelezwa kwa Miaka Mitatu kati ya January 2015 na Desemba 2017.
Hayo yameelezwa mapema leo hii na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, IKULU  bwana Peter Ilomo wakati akizindua kikao kazi cha kuanza kwa Viongozi na Watendaji  wa Mkoa Njombe juu ya utekelezaji wa miradi hiyo ya kupunguza umaskini kwa ufadhili wa OPEC awamu ya tatu. Bw. Ilomo amesema...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF yaanza kukagua miradi Mkoani Ruvuma

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko akitoa ufafanuzi juu ya utekelezaji wa miradi ya TASAF katika halmashauri za wilaya na Manispaa Mkoani Ruvuma kwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF Abbas Kandoro, ambaye ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kukagua miradi iliyotekelezwa na TASAF kwa kushirikiana na wananchi katika Mkoa wa Ruvuma.  Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF Abbas Kandoro akisisitiza jambo kwa viongozi (hawapo pichani) wa...

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YAFUNGUA WARSHA YA MIRADI YA UJENZI MJINI KIBAHA-PWANI LEO

 Washiriki wa warsha ya miradi ya ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa miradi TASAF Amadeus Kamagenge mara baada ya kufungua warsha hiyo. Mkurugenzi wa miradi wa TASAF Amadeus Kamagenge akifungua warsha ya miradi ya ujenzi kwa wataalam wa halmashauri ya manispaa ya kibaha ikiwa ni moja ya mikakati ya kufanikisha mpango wa kunusuru kaya masikini unao Washiriki wa warsha ya miradi ya ujenzi wakimsikilza kwa makini mkurugenzi wa miradi TASAF Amadeus Kamagenge (hayupo picha)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani