Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino

WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino

Wakazi 12,280 wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamenufaika na ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyogharimu kiasi cha Sh5 bilioni kutoka Shirika la Kimataifa la Serikali ya Korea Kusini la Good Neighbours International (GNI).

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia

WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakazi Chamwino waishi kwa kula matunda ya porini

Halmashauri ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma imetangaza kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula na kusababisha baadhi ya wakazi wake kuishi kwa kula matunda ya porini, mboga na unga wa ubuyu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watendaji simamieni miradi ya TASAF’

WATENDAJI  wa kata na vijiji wametakiwa kusimamia  miradi ipasavyo  ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ili kuzinusuru kaya maskini. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, alitoa kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi Tasaf mkombozi Kongwa

NI ukweli usiopingika kuwa Watanzania wengi ni maskini licha ya kuwa taifa lina rasilimali nyingi. Kuthibitisha ukweli huo ni kwamba kuna familia zinakula mlo mmoja kwa siku tena kwa shaka...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dkt. Rehema Nchimbi akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenge, nyuma  yake ni Kamati ya Kudumu ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyotembelea kukagua  Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Anjelina Lutambi akiwahutubia wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mwenge nyuma yake in Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
  Mkurugenzi Mkuu wa  TASAF Radislaus Mwamanga akiangalia bidhaa za sabuni zinazotengenzwa na mnufaika wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tasaf yalaumu uzembe kwenye miradi

. Licha ya Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo, mingi huishia kufa kutokana na sekta husika kutokuwa na ufuatiliaji na usimamizi wa kutosha.

 

10 years ago

Habarileo

Tasaf walaumiwa kwa kutokamilisha miradi

VITENDO vya udanganyifu kwenye utekelezaji wa miradi ya kijamii (TASAF) vimeonekana kukithiri ambapo miradi mingi imeonekana kutokamilika na huku mingine ikiwa chini ya kiwango kwa awamu ya kwanza na ya pili zilizopita.

 

10 years ago

Michuzi

TASAF yazindua Miradi ya kupunguza umaskini Njombe

Halmashauri 13 za Mikoa ya Njombe na Arusha zinaanza kunufaika na miradi ya kupunguza Umaskini ya OPEC Awamu ya tatu kwa Watu takribani Milioni 3.1 utakaotekelezwa kwa Miaka Mitatu kati ya January 2015 na Desemba 2017.
Hayo yameelezwa mapema leo hii na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, IKULU  bwana Peter Ilomo wakati akizindua kikao kazi cha kuanza kwa Viongozi na Watendaji  wa Mkoa Njombe juu ya utekelezaji wa miradi hiyo ya kupunguza umaskini kwa ufadhili wa OPEC awamu ya tatu. Bw. Ilomo amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani