Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino
WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino
11 years ago
Habarileo05 Jan
Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia
WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Wakazi Chamwino waishi kwa kula matunda ya porini
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
‘Watendaji simamieni miradi ya TASAF’
WATENDAJI wa kata na vijiji wametakiwa kusimamia miradi ipasavyo ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ili kuzinusuru kaya maskini. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Miradi Tasaf mkombozi Kongwa
NI ukweli usiopingika kuwa Watanzania wengi ni maskini licha ya kuwa taifa lina rasilimali nyingi. Kuthibitisha ukweli huo ni kwamba kuna familia zinakula mlo mmoja kwa siku tena kwa shaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s72-c/aa.jpg)
WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lsSSKD8FQV4/XmuSh6nZkaI/AAAAAAAAgEo/RCW3x6xKTP8f0IxlaXHGgrCFQfZbnBKNACLcBGAsYHQ/s640/aa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2wUvXErMQus/XmuSfiH5lbI/AAAAAAAAgEg/ZNyxLldPKCECoF6L997pewnX2UMme1QpgCLcBGAsYHQ/s640/bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FHPxCAUzavY/XmuShTFlN_I/AAAAAAAAgEk/Tf5cf3j5CMsbTopRXKjdOzn5wOTSpdwxwCLcBGAsYHQ/s640/cc.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Tasaf yalaumu uzembe kwenye miradi
10 years ago
Habarileo10 Oct
Tasaf walaumiwa kwa kutokamilisha miradi
VITENDO vya udanganyifu kwenye utekelezaji wa miradi ya kijamii (TASAF) vimeonekana kukithiri ambapo miradi mingi imeonekana kutokamilika na huku mingine ikiwa chini ya kiwango kwa awamu ya kwanza na ya pili zilizopita.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WUeP2wEX-UY/VXnEltXDM-I/AAAAAAAC6To/mvkpaAzTD54/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF yazindua Miradi ya kupunguza umaskini Njombe
Hayo yameelezwa mapema leo hii na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, IKULU bwana Peter Ilomo wakati akizindua kikao kazi cha kuanza kwa Viongozi na Watendaji wa Mkoa Njombe juu ya utekelezaji wa miradi hiyo ya kupunguza umaskini kwa ufadhili wa OPEC awamu ya tatu. Bw. Ilomo amesema...