Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Chamwino waishi kwa kula matunda ya porini

Halmashauri ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma imetangaza kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula na kusababisha baadhi ya wakazi wake kuishi kwa kula matunda ya porini, mboga na unga wa ubuyu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Siasa imevunja umoja, ikateua wachache kula matunda ya nchi

Hii ni hoja yangu ya siku nyingi. Kila nikifikiria ni jinsi gani tunaweza kujenga jamii bora yenye mshikamano, wazo la hekalu linakuja akilini mwangu. Wale wanaosoma makala zangu, wanajua jinsi ninavyozungumzia jambo hili na kusisitiza umuhimu wake. Ninashindwa kupata neno zuri.  Labda wengine wanachanganya hekalu na nyumba za ibada tulizozizoea. Sina maana ya kanisa wala msikiti.  Nina maana ya ‘kitu’ cha kuwaunganisha Watanzania wote.

 

10 years ago

Mwananchi

Siasa ievunja umoja,ikateua wachache kula matunda ya nchi

Kila nikifikiria ni jinsi gani tunaweza kujenga jamii bora yenye mshikamano, wazo la hekalu linakuja akilini mwangu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya TASAF yawainua wakazi Chamwino

WAKAZI wa Kijiji cha Ndogowe na Ng’ambaku katika Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, wamesema miradi inayosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekuwa mkombozi wa kuwaondolea umaskini. Aidha, walieleza...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia

WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walazimika kula mizizi

WAKAZI wa Kata za Mashewa na Mkomazi, wilayani Korogwe, mkoani Tanga wamelazimika kula mizizi ya miti na matunda ili kunusuru maisha yao kutokana na kukabiliwa na baa la njaa. Kufuatia...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakazi wakiri kula kinyesi bila kujua wilayani Karagwe

>Baadhi ya wananchi wa  Kijiji cha Kafunjo, Kata ya Kiruruma, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wamesema wamekuwa wanakula kinyesi bila kujua kutokana na kutokuwa na vyoo bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha

VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji  huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida

>Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani